Uvumilivu umemshinda Lugola

Uvumilivu umemshinda Lugola

Kwani ni lazima kutii amri hata Kama inatolewa kichaa fulani Kama Lugola?
 
Tutabaki kusema tu hivyo, inabidi sasa tuchukue hatua

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo siyo ccm; ccm asilia nao wanapata tabu sana kuona chama chao kimekuwa genge la watu wasiostaarabika; watu walio tayari kuua kwa akili ya madaraka tu. Mbaya zaidi kuna wahuni wa kulipwa wamejaa mitandaoni nao eti wanapigania ccm! Lakini ukichunguza wanapigania watu; siyo ccm. Huyo waziri hajatumwa na ccm. Wala sidhani kuna kikao chochote cha ccm kinaweza kufanya uamuzi kuwa shughuli za siasa zisimame mpaka uchaguzi mwingine! Ccm asilia haina watu wa aina hiyo. Tatizo ni watu wachache waliotafuta uongozi wa kisiasa wakati hawana uwezo wala hawajui uongozi. Sasa wanaona njia pekee ni kujihami kwa njia halali na batili; house no kuondoa uhai, wakiamini kuwa hakuna mamlaka ya kuwahoji!
 
Nimejiuliza sana lakini sipati jibu.
Naomba msaada wa Wanasheria.
Kwa nini ACT-Wazalendo na CHADEMA hawafungui kesi Mahakama Kuu kudai haki ya kufanya mikutano?
Kwa nini Kangi Lugora hafunguliwi mashtaka kwa kutoiona ziara ya Mizengo Pinda lakini anamuona Zito Zuberi Kabwe tu?
Kwa nini Kangi Lugora hapewi nafasi ya kujieleza mbele ya Watanzania juu ya undumilakuwili huu?
Mahali pekee pa kumfanya Kangi Lugora ajieleze mbele ya Watanzania ni Mahakamani.
Hii 'double standard' ya Jeshi la Polisi na Kangi Lugora inawajibishwa vipi kisheria?
Kangi Lugora, kwa matamshi yake akiwa Unguja, afunguliwe kesi ajieleze ili Mahakama Kuu itoe msimamo juu ya jambo hili.
Wanasheria tusaidieni katika hili.
Zipo kumbukumbu za Mahakama Kuu kupitia maombi ya "Orders of Certiorari, prohibition, and Mandamus" ika-'quash' MAAMUZI YALIYOTOLEWA NA SERIKALI na Serikali ikalazimishwa, ku-"discharge its function properly, because it was executing its duty unlawfully, thus ultra vires".
Maamuzi ya kumzuia Zitto Kabwe asipokee wanachama wapya, huku ukimruhuhusu Mizengo Pinda na Bashiru Ally wapokee wanachama wao wapya hayakiuki Katiba?
(unreasonable ultra vires the Constitution of the United Republic).
((Wanasheria mnajua kuwa hayo maneno ya Kimombo cha Sheria nimenukuu kwenye kesi ya Dampo la Kunduchi)) Mimi siyo Mwanasheria.
Kwa nini Sheria hiyo isitumike kwenye suala la Mikutano?.
Kwa nini Upinzani wanafunguliwa kesi kila kukicha, lakini wao hawawafungulii CCM kesi za madai ili wote washinde Mahakamani?
Kwa kweli sielewi!
Hahaha Pinda juzi alipokea wanachama zaidi ya 300 kutoka chadema huko Manyara, mikutano ilikuwa imeruhusiwa au ndiye mbunge wa Manyara?!
 
Hapo ndo huwa naona viongozi wa ccm wanafiki sana wanazuia wenzao wakati wao wanafanya mikutano kila leo
 
Hahaha Pinda juzi alipokea wanachama zaidi ya 300 kutoka chadema huko Manyara, mikutano ilikuwa imeruhusiwa au ndiye mbunge wa Manyara?!

Afu huyu jamaa asitake sifa tu,mbona sisiem wao wanakata mitaa na hawaulizwi wala kuzuiwa? Mambo ya kijinga sana haya
 
hiki kizee cha kihutu kifitini hadi chote !
*kimeweka fitina kwenye local chanel for TBC
*kimeweka fitina fast jet for ATCL
*kimeweka fitina airtel, voda kwa ajili ya TTCL
*kimeweka fitina rout ya Ubungo ferry kwa ajili ya DART
*kimeweka fitina shule binafsi kwa ajili ya shule za kata
*kimeweka fitina kwenye mabasi-vifurushi kwa ajili ya posta
*kimeweka fitina UKAWA kwa ajili ya CCM
*kimewawekea wahindi fitina akina Seth, moo kwa ajili ya wachina...
*kimeweka fitina kwenye bureau kwa ajili ya NMB na CRDB..
KINAWAMALIZA WA TZ..
BLACK SADIST FROM HUTU TRIBE !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawawajui wazenj kutakuwa na maafa makubwa kama wataendeleza upumbavu wao kule.
Wasijaribu kabisa! Nimemkumbuka yule jamaa anaitwa Jussa! Yule ni taabu kabisa😀
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom