Uvumilivu umemshinda Lugola

Uvumilivu umemshinda Lugola

tatizo wapinzani hawaweki kumbukumbu,usikute hawana footage hata ya huo mkutano wa pinda huko manyara,sasa hata mahakamani sijui wanajitetea kwa hearsay?

Hapo ndipo sielewi CHADEMA na wenzao wana mipango gani! Haieleweki kabisa kuna nini hasa kinachowasibu!
 
Yasitokee mauwaji tu

Sent from my SM-G570F using Tapatalk

Haya yanatafutwa sana, iwe fundisho kwa wengine; na kulainisha mwelekeo wa 2020.

Kwa hiyo inabidi kuwanyima fursa hiyo kwa kila njia iwezekanayo. Wasipewe mwanya huo kwa visingizio hafifu.
 
Zitto na Maalim waendelee ma Ziara,huyo waziri kama kweli ametoa tamko hilo atambue kuwa hilo ni tamko batili linalokinzana na katiba pamoja na sheria za nchi.

Wao walizuia mikutano ya hadhara,Zitto na Maalimu wanafanya mikutano ya ndani.

Ifike wakati waone aibu,maana Pinda anaendelea na ziara na anapokea wanachama kutoka chadema Lugola hajaliona,Polepole anazurura nchi nzima hakuna katazo .

ACT-Wazalendo endeleeni na ziara ilimradi hamvunji sheria.

Vinginevyo wafute vyama vya siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku yaja hakuna atakae weza kuisimulia.hiyo siku sio uraiani wala the hegue
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Haya yanatafutwa sana, iwe fundisho kwa wengine; na kulainisha mwelekeo wa 2020.

Kwa hiyo inabidi kuwanyima fursa hiyo kwa kila njia iwezekanayo. Wasipewe mwanya huo kwa visingizio hafifu.
Sssa mkuu iwe fundisho kwa kina nani?
Na wakifa ina faida kwa nani?


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Hawawajui wazenj kutakuwa na maafa makubwa kama wataendeleza upumbavu wao kule.

Wazee wa kupika ugali sumu!🤣🤣🙌🏾🙌🏾

Unaambiwa “chokochoko mchokoe pweza”
 
Hawa chama cha kijani wana akili timamu kweli? Wapige marufuku vya siasa ibaki ccm waone mabeberu watakavyowanyoosha.
 
Sssa mkuu iwe fundisho kwa kina nani?
Na wakifa ina faida kwa nani?


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Fundisho litakuwa kwa wenye viherehere, wasieendelee na viherehere vyao na kukwamisha juhudi. Kazi kwa wote inatakiwa iwe moja tu.
"Kuunga Juhudi".

Wakifa faida ni kwa wasiotaka kupingwa na yeyote. Mawazo yao ndio yawe sahihi, na sio ya hao wengine walioonyeshwa mfano.

Nadhani utakuwa umenielewa kwa ufafanuzi huu!
 
Fundisho litakuwa kwa wenye viherehere, wasieendelee na viherehere vyao na kukwamisha juhudi. Kazi kwa wote inatakiwa iwe moja tu.
"Kuunga Juhudi".

Wakifa faida ni kwa wasiotaka kupingwa na yeyote. Mawazo yao ndio yawe sahihi, na sio ya hao wengine walioonyeshwa mfano.

Nadhani utakuwa umenielewa kwa ufafanuzi huu!
Nimekuelewa vizuri tu

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE Zitto Kabwe + Maalim Seif + siasa za Zanzibar vs serikali + Polisi = Naiona hatari uko mbeleni. Kwa sababu sidhani kama wapinzani watakubaliana na zuio wakati Polepole, Mizengo Pinda , Lowassa na wangineo wanaruhusika kufanya aidha mapokezi ama mikutano nakupokea wanachama hali yakuwa si wabunge wa maeneo husika.
 
Vp zzk hajakamatwa kwa kosa la kuvuruga amani !!kwikwikwi kwii ccm b hiyoooooo!
 
Back
Top Bottom