Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,766
- 4,046
Kuna mtu aliniambia hiyo aliyo shika si ilani bali ni irizi. Ukitaka pasieleweke, basi ibadilisheapewe ilani nyingine
Cheo ni dhamana hakuna binadamu atakaye ishi milele
Wakati wa kampeni itakuwa salula salulaMikutano ni wakati wa kampeni tu nadhani ndo maagizo kutoka juu kwani kipenga kimeshapulizwa? Watu wanaacha kazi za kujenga taifa na kurundikana kwenye mikutano ya siasa! Tufanye kazi sababu sasa ni zamu yetu Afcon then Weld Kapu!!!Ha ha ha!
Wasijaribu kabisa! Nimemkumbuka yule jamaa anaitwa Jussa! Yule ni taabu kabisa😀
Wewe uliyehai shika bango uandamane ili ujiunge na wafu kama kweli wewe sio mfu wa akili, na mwili umebeba kopo tuwazir mpuuz anaongoza wapuuz/maiti
Hahaha waliishafungua nyingi naajafukuzwa, matunda, wakaona nikupoteza muda na pesa. Lipi jipya?!Nimejiuliza sana lakini sipati jibu.
Naomba msaada wa Wanasheria.
Kwa nini ACT-Wazalendo na CHADEMA hawafungui kesi Mahakama Kuu kudai haki ya kufanya mikutano?
Kwa nini Kangi Lugora hafunguliwi mashtaka kwa kutoiona ziara ya Mizengo Pinda lakini anamuona Zito Zuberi Kabwe tu?
Kwa nini Kangi Lugora hapewi nafasi ya kujieleza mbele ya Watanzania juu ya undumilakuwili huu?
Mahali pekee pa kumfanya Kangi Lugora ajieleze mbele ya Watanzania ni Mahakamani.
Hii 'double standard' ya Jeshi la Polisi na Kangi Lugora inawajibishwa vipi kisheria?
Kangi Lugora, kwa matamshi yake akiwa Unguja, afunguliwe kesi ajieleze ili Mahakama Kuu itoe msimamo juu ya jambo hili.
Wanasheria tusaidieni katika hili.
Zipo kumbukumbu za Mahakama Kuu kupitia maombi ya "Orders of Certiorari, prohibition, and Mandamus" ika-'quash' MAAMUZI YALIYOTOLEWA NA SERIKALI na Serikali ikalazimishwa, ku-"discharge its function properly, because it was executing its duty unlawfully, thus ultra vires".
Maamuzi ya kumzuia Zitto Kabwe asipokee wanachama wapya, huku ukimruhuhusu Mizengo Pinda na Bashiru Ally wapokee wanachama wao wapya hayakiuki Katiba?
(unreasonable ultra vires the Constitution of the United Republic).
((Wanasheria mnajua kuwa hayo maneno ya Kimombo cha Sheria nimenukuu kwenye kesi ya Dampo la Kunduchi)) Mimi siyo Mwanasheria.
Kwa nini Sheria hiyo isitumike kwenye suala la Mikutano?.
Kwa nini Upinzani wanafunguliwa kesi kila kukicha, lakini wao hawawafungulii CCM kesi za madai ili wote washinde Mahakamani?
Kwa kweli sielewi!
Lini walifungua, na ni nani alifungua kuanzia kipindi ambacho Rais Magufuli alivyozuia mikutano ya kisiasa kwa Vyama vya Upinzani na inayoruhusiwa ni ya CCM pekee? Sijawahi kusikia.Hahaha waliishafungua nyingi naajafukuzwa, matunda, wakaona nikupoteza muda na pesa. Lipi jipya?!
Hujawahi kusikia wewe hata ukuzitafuta humu JF taarifa zipoLini walifungua, na ni nani alifungua kuanzia kipindi ambacho Rais Magufuli alivyozuia mikutano ya kisiasa kwa Vyama vya Upinzani na inayoruhusiwa ni ya CCM pekee? Sijawahi kusikia.
Zionyeshe hapa tafadhali, kama kweli zipo.Hujawahi kusikia wewe hata ukuzitafuta humu JF taarifa zipo
Mimi sio mjuzi wa kufukua makaburi, ila zipo.Zionyeshe hapa tafadhali, kama kweli zipo.