Kama hii ndiyo Tanzania niliyoambiwa basi kuna uongo ndani yakeJiwe na jamaa zake waoga sana![]()
Wanamsahau kuwa Juzi Pinda ameongoza mikutano huko Manyara kupokea viongozi wa Cdm !!!
Haya mambo wakiongea akina Lissu wanaonekana wana 'libaragaza taifa' kwa msemo wa Prof. Kabudi.Uwezo wa ccm kushindana kisiasa haupo, hivyo anaogopa hao ACT watakubalika na kuifunika ccm.
Katika watu niliowadharau huyu mzee ni shithole tu yaani anaongeaga maneno hadi kichefu chefu.
usisahau ziara ya Pinda mikoani .Mbona wao juzi kati tu walikuwa Mbeya!? Aondoe upuuzi wake hapa.
Nadhani kama Zanzibar wanaenda kwa kuwakaribisha wanachama wapya na sio vinginevyo nadhani
Waache uoga... Katiba inasemaje? Kama inaruhusu tufanye. Nchi ni yetu wote, maendeleo hayana vyama
Sent using Jamii Forums mobile app
Lugola anataka kumfurahisha bosi wake
Uwezo wa ccm kushindana kisiasa haupo, hivyo anaogopa hao ACT watakubalika na kuifunika ccm.
Ngoja tuone kama wana mamlaka kiasi gani kule nchini Zanzibar!![]()
Hahaha Pinda juzi alipokea wanachama zaidi ya 300 kutoka chadema huko Manyara, mikutano ilikuwa imeruhusiwa au ndiye mbunge wa Manyara?!
Tukitegemea Polisi Tutashindwa - Kikwete
CCM ni chama dhaifu sana !
Hawajijui kuwa hawajuiMbona wao juzi kati tu walikuwa Mbeya!? Aondoe upuuzi wake hapa.