GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,754
- 109,383
Mungu yupo. Muda utaongea! Nipo holiday mood, mniache tumalize Mwaka halafu tutaenda Hoja kwa Hoja. Huu Mwaka ulikuwa mrefu sana kwangu! Nilinyamaza upite, ujao sitokuwa kimya. Tutaanza kuongea January mpaka Disemba! InshaAllah!
Chanzo: Dk. Hamis Kigangwala MB
Kuna uwezekano mkubwa baadhi ya Wenzetu wanaugua Ugonjwa wa Akili ila bado hawajajitambua tu.
Hivi Jemedari mzuri wa Vita anaweza Kuahidi ni lini ataanzisha Mashambulizi yake kwa Maadui zake?
Unaposema kuwa nawe utajibu mapigo yao kwa Kukuchokoza (Kukushambulia) hao Maadui zako walikuambia kuwa Silaha zao za Kukukabili zimeisha?
Wenye Akili tunajua kuwa kuna Watu mlidanganywa mno na mpaka kufikia Kuhonga baadhi ya Watu ndani ya 'System' ili mlambe 'teuzi' ila 'Mama' kawatosa na mmenuna kiasi cha kutuahidi Mambo ya Kipuuzi kuanzia mwakani.
Haya tunakusubiri tuone na Ahadi yako.
Chanzo: Dk. Hamis Kigangwala MB
Kuna uwezekano mkubwa baadhi ya Wenzetu wanaugua Ugonjwa wa Akili ila bado hawajajitambua tu.
Hivi Jemedari mzuri wa Vita anaweza Kuahidi ni lini ataanzisha Mashambulizi yake kwa Maadui zake?
Unaposema kuwa nawe utajibu mapigo yao kwa Kukuchokoza (Kukushambulia) hao Maadui zako walikuambia kuwa Silaha zao za Kukukabili zimeisha?
Wenye Akili tunajua kuwa kuna Watu mlidanganywa mno na mpaka kufikia Kuhonga baadhi ya Watu ndani ya 'System' ili mlambe 'teuzi' ila 'Mama' kawatosa na mmenuna kiasi cha kutuahidi Mambo ya Kipuuzi kuanzia mwakani.
Haya tunakusubiri tuone na Ahadi yako.