UVCCM Singida wakerwa na Shonza na Mwampamba

UVCCM Singida wakerwa na Shonza na Mwampamba

Jana katika kipindi cha redio moja mkoani singida,m/kiti wa UVCCM mkoa wa Singida ametoa TAMKO kuwa haiwezekani vijana wageni waliofukuzwa CHADEMA na kuingia ccm wakapewa kipaumbele cha kutembezwa kila kona kufanya mikutano wakati kuna vijana wa UVCCM ambao wana uwezo mkubwa kuliko hao vijana,

Pia M/kiti wa uvccm wilaya ya Iramba amekemea mateka hao ambao wamekuja CCM kufuata pesa afu wapewe heshima ya kutumia jasho letu kwa kufanya mikutano kitu ambacho kinatuvunja moyo sisi tulio kipigania chama cha dhidi ya chadema,


CCM iwasitopishe shonza na mtela kabla hatujaamua kuondoka CCM coz inaonekana hatuna uwezo wa kufanya mikutano mikubwa ila vijana wa CHADEMA ndo wenye uwezo wa kutembezwa kwenye mikutano.

Chanzo standard radio singida.
Nadhani huyo mwenyekiti wa UVCCM singida anaona mbali zaidi ya Nnauye Jr,Mwigulu Nchemba,nk. CCM inaharibiwa na watu wake wenyewe,
 
Jana katika
kipindi cha redio moja mkoani singida,m/kiti wa
UVCCM mkoa wa Singida
ametoa TAMKO kuwa haiwezekani vijana wageni waliofukuzwa CHADEMA na
kuingia ccm wakapewa kipaumbele cha kutembezwa kila kona kufanya
mikutano wakati kuna vijana wa
UVCCM ambao wana uwezo
mkubwa kuliko hao vijana,


Pia M/kiti wa
uvccm wilaya ya Iramba
amekemea mateka hao ambao wamekuja CCM kufuata pesa afu wapewe heshima
ya kutumia jasho letu kwa kufanya mikutano kitu ambacho kinatuvunja moyo
sisi tulio kipigania chama cha dhidi ya chadema,



CCM iwasitopishe shonza na mtela kabla hatujaamua kuondoka CCM coz
inaonekana hatuna uwezo wa kufanya mikutano mikubwa ila vijana wa
CHADEMA ndo wenye uwezo wa kutembezwa kwenye mikutano.

Chanzo standard radio singida.

hi propagander wameicopy na kupaste kutoka kwa Kamanda Mawazo na Millya
 
cha...........................................................................de............................................................................ma.itawaua mwaka huu pambaf
 
Jana katika kipindi cha redio moja mkoani singida,m/kiti wa UVCCM mkoa wa Singida ametoa TAMKO kuwa haiwezekani vijana wageni waliofukuzwa CHADEMA na kuingia ccm wakapewa kipaumbele cha kutembezwa kila kona kufanya mikutano wakati kuna vijana wa UVCCM ambao wana uwezo mkubwa kuliko hao vijana,

Pia M/kiti wa uvccm wilaya ya Iramba amekemea mateka hao ambao wamekuja CCM kufuata pesa afu wapewe heshima ya kutumia jasho letu kwa kufanya mikutano kitu ambacho kinatuvunja moyo sisi tulio kipigania chama cha dhidi ya chadema,


CCM iwasitopishe shonza na mtela kabla hatujaamua kuondoka CCM coz inaonekana hatuna uwezo wa kufanya mikutano mikubwa ila vijana wa CHADEMA ndo wenye uwezo wa kutembezwa kwenye mikutano.

Chanzo standard radio singida.

Nakaa na kujiuliza, nini kitafuata iwapo watamaliza ziara zao zote walizopangiwa na wasifikie malengo ya ajira yao? Tayari katika sehemu ambazo wamepita wameonekana kama si lolote, very ogofyaful.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Acheni Uzushi ndugu zangu Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa sgd hajasema na hakumbuki kusema chochote juu ya Shoza.......any way naona siasa za Majitaka bado zinaendelea.
 
Acheni Uzushi ndugu zangu Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa sgd hajasema na hakumbuki kusema chochote juu ya Shoza.......any way naona siasa za Majitaka bado zinaendelea.

:A S 114:Huyu ni Mwigulu nini?
 
Jana katika kipindi cha redio moja mkoani singida,m/kiti wa UVCCM mkoa wa Singida ametoa TAMKO kuwa haiwezekani vijana wageni waliofukuzwa CHADEMA na kuingia ccm wakapewa kipaumbele cha kutembezwa kila kona kufanya mikutano wakati kuna vijana wa UVCCM ambao wana uwezo mkubwa kuliko hao vijana,

Pia M/kiti wa uvccm wilaya ya Iramba amekemea mateka hao ambao wamekuja CCM kufuata pesa afu wapewe heshima ya kutumia jasho letu kwa kufanya mikutano kitu ambacho kinatuvunja moyo sisi tulio kipigania chama cha dhidi ya chadema,


CCM iwasitopishe shonza na mtela kabla hatujaamua kuondoka CCM coz inaonekana hatuna uwezo wa kufanya mikutano mikubwa ila vijana wa CHADEMA ndo wenye uwezo wa kutembezwa kwenye mikutano.

Chanzo standard radio singida.

Mwaka wa shetani...
 
kuna haja ya chadema pia kuangalia watu waliotoka ccm je wana sifa za kuwa cdm

  • :rockon:
 
Mawazo alitoka wapi na anafanya nini, acheni ushamba wenu waache vijana wafanye kazi.
 
Wanalipwa vizuri hawa. Ndio maana UVCCM wanaona wivu.

Hivi sasa wanatanua mahoteli makubwa kwa bill ya Nape.
quote_icon.png
By Mtumishi Wetu

Mkuu angalia hapa!!!
attachment.php

Malipo yao ni heavy wakati Watanzania wakula taabu!!!!
 
Jana tumeshuhudia kazi nzuri ya Mtela Mwampamba kule Arusha.

Vijana wa UVCCM wameanza kumkubali tena.
 
Mwampamba aonekana kuwa jembe sana kwa Cdm mpaka sasa naanza kuamini kua mwampamba kutoka Cdm imekua pigo kubwa sana kwa Cdm to de extent Kwamba huyu kijana anafuatiliwa sana kila Siku na wanachadema wengi sana.

Mti wenye matunda Siku zote hupigwa mawe, usemi huu unadhihilika live kwa hoja km hii kupata comments Nyingi xana ambazo zote znamuatack mwampamba.

Yawezekana kua kweli mwampamba ni Ile nyota njema ing'aayo tangu asubuh coz currently hapa jamvini ktk jukwaa la siasa kwa vjana mwampamba z on top.

Tahadhari ni Kwamba da one u care da least z da one hu succeed. C u later on
 
Kha hii ndo ile post Juliana Shonza aliiandika kwa kutumia ID nyingine, ili kupata huruma kwa wana CCM wenzake, maskini
 
Back
Top Bottom