Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,044
- 5,114
Hata hapa Mtela kala ban kwa uwongo! Mtela Mwampamba a.k.a Yahaya wa Jay D
Last edited by a moderator:
ukiona mabomu ujue kuna mwigulu:A S 114:Huyu ni Mwigulu nini?
Anatumikia kifungo cha JF kwa sababu ya UONGO!Kweli Mtela bado ni mwiba. Mtu asiye na madhara hawezi kujadiliwa kias hiki. Cdm mnmpaisha sana Mtela.
Mawazo alitoka wapi na anafanya nini, acheni ushamba wenu waache vijana wafanye kazi.
Jana katika kipindi cha redio moja mkoani singida,m/kiti wa UVCCM mkoa wa Singida ametoa TAMKO kuwa haiwezekani vijana wageni waliofukuzwa CHADEMA na kuingia ccm wakapewa kipaumbele cha kutembezwa kila kona kufanya mikutano wakati kuna vijana wa UVCCM ambao wana uwezo mkubwa kuliko hao vijana,
Pia M/kiti wa uvccm wilaya ya Iramba amekemea mateka hao ambao wamekuja CCM kufuata pesa afu wapewe heshima ya kutumia jasho letu kwa kufanya mikutano kitu ambacho kinatuvunja moyo sisi tulio kipigania chama cha dhidi ya chadema,
CCM iwasitopishe shonza na mtela kabla hatujaamua kuondoka CCM coz inaonekana hatuna uwezo wa kufanya mikutano mikubwa ila vijana wa CHADEMA ndo wenye uwezo wa kutembezwa kwenye mikutano.
Chanzo standard radio singida.