Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,450
- 5,278
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohammed Ali Kaiwada ameongoza maelfu ya vijana mkoani Singida katika dua ya kumuombea Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: Wenyeviti wa Mitaa Jimbo la Temeke waungana kumuombea dua Rais Samia kwa lengo la kumtakia afya njema
Kawaida amewasihi Watanzania kuendelea kumuombea Rais Dkt. Samia katika uongozi wake.
CloudsDigital