UVCCM mnazidiwa ujanja na BAVICHA

UVCCM mnazidiwa ujanja na BAVICHA

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Kwanza,nyinyi mnasemwa kama vijana mnaotumika na makundi ya Urais 2015. Hivyo,nyinyi UVCCM,si wamoja. BAVICHA hawana makundi na wamebaki wamoja.

Tena,BAVICHA inathubutu hata kufanya mikutano ya hadhara kupitia viongozi wao. Wanahutubu na kusikilizwa. UVCCM mko nyuma. Mnaogopa au kukosa kitu gani. Semeni msaidiwe. Shirikini mikutano na midahalo.

Mabaraza ya Vijana vyamani ni chemchem ya kuzalisha viongozi waliopikwa wakapikika. Si mahali pa kukaa ofisini bila tija. Kukaa bila ya kufanya kazi inayostahili.

Binafsi,sijaiona tena UVCCM ya Nchimbi. Ilikuwa moto. Hii imepoa na inazidiwa ujanja na BAVICHA. Thubutuni kuhutubia na kutangaza sera za chama chetu kwa vijana. Isifikie wasemaji wa vijana nchini wawe BAVICHA.

Punguzeni au muache kabisa woga na utegemezi. BAVICHA wanawazidi ujanja. Msikubali.

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Naamini Sadifa, Mboni Mhita, Paul Makonda na wengineo watakuwa wamekusikia Mkuu. By the way, si kulikuwa na uzi humu kwamba Mboni yuko USA kwa kazi za Chama? UVCCM inag'ara kimatiafa sio nchini tu Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Wale wameajiri usalama wa taifa na polisi ndio wanaofanya kazi. Wanajua kile wanafanya
 
UVCCM, mtambo wa kuwashambulia wazee wenye hekima nchini -Hili ndilo wanaliweza - nguvu ya hoja hamna kitu.
 
UVCCM wako active sana mkuu, wanawatwanga wazee wa CCM kama hawana akili nzuri, wanatekeleza kwa weledi wa hali ya juu agizo la WAPIGWE TU.
 
kama ni viroba tu aisee bavicha ni mabingwa hawana mpinzani katika hilo
 
Kwanza,nyinyi mnasemwa kama vijana mnaotumika na makundi ya Urais 2015. Hivyo,nyinyi UVCCM,si wamoja. BAVICHA hawana makundi na wamebaki wamoja.

Tena,BAVICHA inathubutu hata kufanya mikutano ya hadhara kupitia viongozi wao. Wanahutubu na kusikilizwa. UVCCM mko nyuma. Mnaogopa au kukosa kitu gani. Semeni msaidiwe. Shirikini mikutano na midahalo.

Mabaraza ya Vijana vyamani ni chemchem ya kuzalisha viongozi waliopikwa wakapikika. Si mahali pa kukaa ofisini bila tija. Kukaa bila ya kufanya kazi inayostahili.

Binafsi,sijaiona tena UVCCM ya Nchimbi. Ilikuwa moto. Hii imepoa na inazidiwa ujanja na BAVICHA. Thubutuni kuhutubia na kutangaza sera za chama chetu kwa vijana. Isifikie wasemaji wa vijana nchini wawe BAVICHA.

Punguzeni au muache kabisa woga na utegemezi. BAVICHA wanawazidi ujanja. Msikubali.

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Umesahau 98% yao ni wachafu?Na wanasubiria kumegewa tonge toka kwa mafisadi?Kuna wengine bila mafisadi hawezi kuishi.

Mwisho umesahau 98% hawana UZALENDO hata kidogo na wengi wao ni watoto wa mafisadi,utawezaje kupanda jukwani umponda FISADI anayekupa kula yako?

Mzee Tupatupa umewapa kazi ngume kweli kuifanya,utawaua hao kabla ya siku zao,waonee huruma tu waendelee kusihi hivyo hivyo ili wakistuka ni asubuhi kweupeeeeeeeeeeeee.:wave:
 
Chezea Patrobass paschal katambi wewe mwenyekiti Bavicha!! Patrick ole sosopi wewe!! Nomaaaaa! Viva Bavicha..
 
Chezea Patrobass paschal katambi wewe mwenyekiti Bavicha!! Patrick ole sosopi wewe!! Nomaaaaa! Viva Bavicha..


Mbowe%2Bkuhutubia%2BSikonge%2B2..jpg
 
Habari hii yafaa kuwekwa kwenye Frontpage ya "TANZANIA DAIMA".
 
kama ni viroba tu aisee bavicha ni mabingwa hawana mpinzani katika hilo

kweli wewe akili yako imestroke,pole sana, sio makosa yako, makosa ni laana ya kuwapiga wazee wenye heshima katika taifa hili.
 
Huyu mkuu vuta nkuvute inaonekana ni mtu mkubwa sana pale lumumba?.
 
Back
Top Bottom