Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
CHANZO CHA HUU UZI ?
Ndokusema Maandamano YANARUHUSIWA
gazeti la mwananchiCHANZO CHA HUU UZI ?
Waandamane tu Ila sisi tar 1 Kama kawaTanzania ni Nchi huru. Kila mtu ana uhuru na haki ya kuwaza anavyoweza. Huna mamlaka ya kubana uhuru huo
Wakuu uvccm wametangaza kufanya maandamano august 31 ili kuwaeleza wananchi kuridhishwa kwao na utendaji kazi wa raisi magufuli.jeshi la polisi lilipiga marufuku maandamano ya kisiasa hata mbowe alipotangaza maandamano ya CHADEMA kuanzia sept 1 nchi nzima aliitwa kwa mohojiano.nategemea jeshi letu tukufu la polisi litawaita UVCCM kwa mohojiano maana wanataka kuharibu amani na utulivu wa nchi yetu