Wewe nawe jiongeze hakuna cha maandamano hapo hiyo danganya toto hiyo trick ishapangwa wajifanye wanataka kuandamana afu police wawazuie then police wazuie na ya UKUTA kwa kisingizio kua mbona ya uvccm wamezuiwa na wametii, huo ni utoto wanachotaka kufanya uvccmWatu hawataki kufanya kazi....!!!
M/Kiti wa CCM taifa awe makini vijana watamvurugia. Mimi nilitegemea vijana wa UVCCM sasa waonyeshe njia kwa kufanya kazi kwa kuanzisha miradi mbali mbali ya kuwaletea maendeleo watanzania, kwa kutumia vitegauchumi walivyonavyo wawasaidia vijana kupata mitaji nk. Wawatembelee vijana kwenye maeneo yao wakusanye kero za vijana na kuziwasilisha kwa sekeretarieti ya chama na kisha afikishiwe mwenyekiti wa Chama taifa. ndiyo maana nasema UVCCM nayo inatikiwa kufumuliwa. Kama ni kweli wanataka kufanya hivyo eti kuandamana kumuunga mkono Rais...na sema watakuwa hawafai. Rais ninayemjua hataki kuungwa mkono kwa staili ya maandamano. Wajiangalie hao viongozi wa UVCCM.
Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) imepanga kuitisha maandamano nchini nzima Agosti 31 mwaka huu yenye lengo kumpongeza Rais John Magufuli kutokana utendaji kazi tangu aingie madarakani.
Kaimu Katibu Mkuu wa jumuiya hiyo, Shaka Hamdu Shaka alisema maandamano hayo ni ya amani tofauti na vyama vingine na tayari wameshatoa taarifa kwenye vyombo vya dola kwa ajili ya ulinzi.
Alisema Rais Magufuli amefanya mambo mengi katika kipindi kifupi alichokuwa madarakani hivyo hawana budi kumpongeza kwa njia ya maandamo ili kufikisha ujumbe kwa wananchi waliomchagua.
My Take: Hii ni kwa ajili wakinyimwa waseme ya UKUTA nayo yasitishwe. Mchezo huu hauitaji hasira poleni
My take is here...UVCCM ni mtego kwa CHADEMA kwakuwa wanafahamu hawatapewa kibali au ruhusa na Jeshi la Polisi hivyo Police wataendelea na msisitizo wao kuwa hata UVCCM tumewanyima kibali hivyo na nyinyi hamna ruhusa ya kufanya hivyo!!Kwa sababu ukiangalia UVCCM hawakuwa na maandalizi yoyote ya kuwa na maandamano!Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) imepanga kuitisha maandamano nchini nzima Agosti 31 mwaka huu yenye lengo kumpongeza Rais John Magufuli kutokana utendaji kazi tangu aingie madarakani.
Kaimu Katibu Mkuu wa jumuiya hiyo, Shaka Hamdu Shaka alisema maandamano hayo ni ya amani tofauti na vyama vingine na tayari wameshatoa taarifa kwenye vyombo vya dola kwa ajili ya ulinzi.
Alisema Rais Magufuli amefanya mambo mengi katika kipindi kifupi alichokuwa madarakani hivyo hawana budi kumpongeza kwa njia ya maandamo ili kufikisha ujumbe kwa wananchi waliomchagua.
My Take: Hii ni kwa ajili wakinyimwa waseme ya UKUTA nayo yasitishwe. Mchezo huu hauitaji hasira poleni
Haa haaaaNaona wanajipendekeza kwa "MTUKUFU" hawa vijana wa UVCCM njaa zinawasumbua hakuna kimya hayo maandamano wakaandamane huko lumumba.
Mbona mnaweweseka sana.Waandamane wasiandamane, tarehe 1 Septemba UKUTA iko pale pale. Kamwe hatutarudi nyuma. Tumegundua huyu dereva uchwara gari yetu anaipeleka Zimbabwe hivyo tunataka kuirudisha Tanzania kabla haijavuka mpaka wa Zambia.
Maandamano ya CCM ni feki ni mbinu ya kuwahadaa UkawaHaa haaaa
Wakiandamana CCM ni njaa
na wakaandamanie LUMUMBA.
Hahaha
Wakiandamana UKAWA
Ni uzalendo.
Ngoma inogire
Maandamano ya amani ya UVCCM yako palepale agost 31.Wakuu naomba kuuliza,
Hivi wanachama wa CCM haya maneno huwa yanawachanganya kwa hawaelewi maaana ya au wanayatafsiri tofauti na maana ilivyo
1. Maandamano
2. Amani
3. Utulivu
4. Kukosoa/kupongeza/kusifia serikali
5. Chama cha siasa
6. Mikutano
7. Katiba
Ni kwamba huwa wana maana tofauti na inayojulikana na wengi au ni Hofu inayowafanya kuchukulia kinachofanywa na Vyama vya upinzani ni Vurugu.
Hakuna maandamano hapo kuna mbinu za kuwahadaa UkawaMaandamano ya amani ya UVCCM yako palepale agost 31.
Tujitokeze kwa wingi nchi nzima
Hahahha.Maandamano ya CCM ni feki ni mbinu ya kuwahadaa Ukawa