Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
Kwa kile ambacho CCM wanaamini kuwa JF inamilikiwa na CHADEMA na kuwa tishio kwa Chama tawala kama ambavyo Mwenyekiti msaidizi wa Chama Pius Msekwa alivyosema,na baada ya Hussein Bashe kukiri kuwa ataitumia Jamii Forum kukusanya maoni ya wananchi kuelekea kuifanya UVCCM irejeshe heshima yake na ku-appeal kwenye public.
Ameshauriwa kutoitumia JAMIIFORUM na badala yake amwage mamluki waweze kuizamisha JF kwenye tundu la choo i mean ifutwe ama member ambao ni mamluki watoe michango isiyoendana na hadhi ya Ma great thinkers.
Kwenye kikao cha siri kilichofanyika Bagamoyo wamekubaliana waanzishe forum yao na waendelee kumpa support MICHUZI.
More to follow.
Ameshauriwa kutoitumia JAMIIFORUM na badala yake amwage mamluki waweze kuizamisha JF kwenye tundu la choo i mean ifutwe ama member ambao ni mamluki watoe michango isiyoendana na hadhi ya Ma great thinkers.
Kwenye kikao cha siri kilichofanyika Bagamoyo wamekubaliana waanzishe forum yao na waendelee kumpa support MICHUZI.
More to follow.