Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajf niko Hapa Monduli, nimekutana na msafara wa magari, costa na Hiace zimejaza vijana wa ccm na bendera zimefungwa kwenye magari, ndo nikauliza kuna nini leo? Wenyeji wameniambia vijana wanaenda Arusha town kuzindua matawi baadae kuna mkutano wa hadhara, nasikia vijana wamesombwa kutoka Babati, karatu, Manyara na maeneo mengine ya Arusha kwena mjini kuhudhuria mkutano.
Sasa mimi nacho jiuliza kwanini Uvccm inawasomba vijana kutoka kila kona kufanikisha ufunguzi wa matawi Arusha mjini, au wanataka kuwaonyesha watanzania kwamba bado ccm inapendwa na vijana. Ama kweli ccm maji shingoni.
Wanajf niko Hapa Monduli, nimekutana na msafara wa magari, costa na Hiace zimejaza vijana wa ccm na bendera zimefungwa kwenye magari, ndo nikauliza kuna nini leo? Wenyeji wameniambia vijana wanaenda Arusha town kuzindua matawi baadae kuna mkutano wa hadhara, nasikia vijana wamesombwa kutoka Babati, karatu, Manyara na maeneo mengine ya Arusha kwena mjini kuhudhuria mkutano.
Sasa mimi nacho jiuliza kwanini Uvccm inawasomba vijana kutoka kila kona kufanikisha ufunguzi wa matawi Arusha mjini, au wanataka kuwaonyesha watanzania kwamba bado ccm inapendwa na vijana. Ama kweli ccm maji shingoni.
kwa kweli hapa ndipo ugonjwa wa CCM ulipo. wao kwa ujinga wao wanadhani kuna watu wanawaonea wivu kwa vile ni chama tawala, kumbe tatizo liko ndani mwao.CCM watafute muarobaini wa matatizo yao ya ndani.
CDM wanashauriwa kwenda vijijini ili wapate nguvu halafu wewe unakuja kuuliza swali la kipumbavu kama hili badala ya kujifunza na wanayo fanya CCM.
Mkuu habari yako haina mashiko,, mimi nilikuwepo Pugu, mbona watu walikuwa kisado? check picha hiic.c.m kwisha habari yake, jana walikuwa na mkutano eneo la pugu kajiungeni sheli (ukonga) wanampokea Dr. kafumu kwa ushindi na kurejea nyumbani pugu, watu walikuwa wachache hata hamsini hawafiki, wengi ni wakina mama isitoshe most of them ni viongozi wa shina,matawi na kata. c.c.m aibu tupu Dr kafumu hata wakazi wa pugu awajajitokeza pamoja na kutangaza sana ujio wake.
Kama nadanganya nipo tayari kukosolewa wakuu. Magamba kazi kwenu.
Na wewe ulifata ubwabwa?Mkuu habari yako haina mashiko,, mimi nilikuwepo Pugu, mbona watu walikuwa kisado? check picha hii
CDM wanatakiwa wakiona hivi basi na wao wanaelekea vijijini kufungua vituo vyao...! Ili wanaporudi wakute na CDM imeshawakomba vijijini..! Yaani game itakuwa tamu kweli...!Wanajf niko Hapa Monduli, nimekutana na msafara wa magari, costa na Hiace zimejaza vijana wa ccm na bendera zimefungwa kwenye magari, ndo nikauliza kuna nini leo? Wenyeji wameniambia vijana wanaenda Arusha town kuzindua matawi baadae kuna mkutano wa hadhara, nasikia vijana wamesombwa kutoka Babati, karatu, Manyara na maeneo mengine ya Arusha kwena mjini kuhudhuria mkutano.
Sasa mimi nacho jiuliza kwanini Uvccm inawasomba vijana kutoka kila kona kufanikisha ufunguzi wa matawi Arusha mjini, au wanataka kuwaonyesha watanzania kwamba bado ccm inapendwa na vijana. Ama kweli ccm maji shingoni.
tena wawe macho, vinginevyo watashughulikiwa na akina mong'oo wa arusha!..wasilete uporipori wao mjini bana!