kidaganda
JF-Expert Member
- Aug 26, 2013
- 2,991
- 2,564
Kuna haja kama jamii kuwaangalia upya vijana wa Arusha hasa wa kipindi hiki. Kuna vitu wanafanya japo mwengine watasema ni usasa ila naona kama kuna shida na wanahitaji ushauri kuwarudisha kwenye hali ya kawaida kwa mambo wanayoyafanya mfano:
1. Uvaaji
2. Ongea yao(lugha)
3. Uendeshaji wa pikipiki
4. Ulevi
Hayo ni mchache tu nafikiri wengi tumekutana na video clips nyingi tu vijana wa mkoa huu kama mtu unafikiria vizuri na unawapenda kuna haja ya kuwatreat kama special group.
1. Uvaaji
2. Ongea yao(lugha)
3. Uendeshaji wa pikipiki
4. Ulevi
Hayo ni mchache tu nafikiri wengi tumekutana na video clips nyingi tu vijana wa mkoa huu kama mtu unafikiria vizuri na unawapenda kuna haja ya kuwatreat kama special group.