Habari JF
Hii pia haina ubishi, uvaaji wa nguo za mtumba hapa Tanzania ni indicator ya masikini wa kiwango cha juu
Haiwezekani mtu mwenye pesa kushindwa kununua nguo mpya ambayo haijavaliwa na mtu yoyoyte
Inakuaje mtu unapesa ukanunue nguo aliyovaa mtu kaacha mijasho yake humo, kama ndio underwear mabaki yake humo ni aibu mimi kuyasema hapa
Uvaaji nguo za mtumba ni umasikini uliopitiliza
Hii pia haina ubishi, uvaaji wa nguo za mtumba hapa Tanzania ni indicator ya masikini wa kiwango cha juu
Haiwezekani mtu mwenye pesa kushindwa kununua nguo mpya ambayo haijavaliwa na mtu yoyoyte
Inakuaje mtu unapesa ukanunue nguo aliyovaa mtu kaacha mijasho yake humo, kama ndio underwear mabaki yake humo ni aibu mimi kuyasema hapa
Uvaaji nguo za mtumba ni umasikini uliopitiliza