Unyanga
JF-Expert Member
- Feb 6, 2011
- 402
- 83
jamani naombeni mnikaribishe humu jf, home of great thinkers, na kama walionipa jina nikiwa shule na kuniita critical thinker, nataka nijiangalie je mie ni critical kweli? Mgeni ni sawa na kipofu haoni njia, mie ni mgeni humu naombeni mniongoze mnipe maelekezo jinsi ya kuwa active member na mambo mengi mazuri humu ndani! I wl be happy kama nitapata great support, thanx