Uume unasimama lege lege sio kama mwanzo

Uume unasimama lege lege sio kama mwanzo

tatizo dogo sana hilo ni saikolojia na hofu tu zinakusumbua. piga tizi kula vizur jiamini tu
 
Mzee kwa umri huo sio rahisi kuwa na matatizo ya kihivyo, itakua unaangalia sana pilau mzee.

Pitia hapo ujifunze kitu.
 
Eti uynwaji wa Energy inapunguza nguvu za kiume?
 
Piga mazoezi hasa ya kiuno na miguu hii itakusaidia sana pili achana na puli

Binafsi puli nimepiga sana kuna mahali nilifika hadi nikawa najionea huruma uzuri ni kwamba nilikua nikipata demu shoo napiga vizuri ila performance ikawa unashuka kidogo kidogo saivi puli nimeacha napiga mazoezi nashoo napiga vizuri tu

Sema tatizo nyie wenye mabolo makubwa sana mkipiga puchu kidogo tu yanaanza kulegemea mimi changu za Wastani pamoja na kupiga puchu kikiona demu kinasimama kama mchale.
 
Yaani mtu amekula puchu miaka mitatu tu eti ohooo nimeathirika physically..No nguvu zinakuwa zipo,sema ni uoga na saikolojia tu..jiwekee akilini kuwa wewe upo fresh,na ukipata demu relax mpe maiki acheze nayo,taratibu utaanza kugain confidence na utapiga mashine vizuri tu.
 
Hofu, Woga, Hofu, Woga

Tatizo lako lipo hapo, ukikutana na 'ke unakuwa na mawazo mengi negatives....
"nitaweza kweli", "nyeto sio iliniharibu", "isipo simama je, si nitachekwa", "mungu nisaidie isimame", "au nikameze dawa", "hata ikisimama, sio nitapiga dk 1 kweli"

Hayo mawazo yote ndiyo yanapelekea uume kutosimama maana unakuwa tayr umepoteza kujiamini mbele ya demu halafu akiondoka ndo unasimama maana ule woga unakuwa umeondoka baada ya demu kuondoka.

Wewe jiamini demu akiwepo na usikurupuke tu kumvua chupi.... muandae kwanza, katka process ya kuandaana utaona ile hali ya woga inapotea na mashine taratibu inanyanyuka..... nakuhakikishia utapiga show had mwenyewe utajishangaa.

Nyeto nilianza tokea darasa la 7 hadi kesho napiga (sana sana nikiwa busy, sitakag usumbufu kabisa na mademu) .... na moto napeleka ile mbaya.
 
Mwaka flani nikiwa nimeenda mkoa fulani kwa ajili ya masomo ya chuo nikajaribu kutafuta manzi wa kupiga.

Kwa kuwa sikuwa mtu wa kutaka kuonekana, nikawa nashindwa kutoka na manzi wa chuo... nikatafuta mtaani ila nikaona nitafute manzi wa kawaida sana nitoe genye na nisafishe nyota tu...
[emoji123][emoji120][emoji120] ahsante kak umenipa tabasamu jipya
 
Umepiga sana miaka mingapi?..na kwa frequency gani?
Huu mwaka wa sita napiga Wastani wa mara tatu kwa wiki ila kuna kipindi naachaga hasa nikiwa nimepata demu ambaye nikimuitaji chapu anakuja
 
Pole sana dogo,

Hapo ni kujiamini tu kama wadau wengi walivosema lakini pia uwe na manzi uliemzoea, mtafute manzi ambae hata isiposimama hutakua na stress za kudharauliwa.

Nakumbuka mimi nilipatwa na hali kama yako ila nikaamini kabisa sina tatizo ni woga tu sasa practise nikawa naenda kufanya kufanya kwa wale wa buku 3. Nimepiga sana wale viumbe enzi zile ila ni kujipua sio wazuri wale 😁😁.

Nilikua naenda kule sababu naamini hawanijui niweze nishindwe si nawalipa kama nitashindwa leo kesho keshokutwa nimo na napiga naenjoy.

Mwisho yote nilipima majibu yakaja poa na sasa naenjoy kwa kila nitakaempata ni kupeleka moto tu.
Kikubwa dogo kua na manzi usiyemuogopa kabisa.
 
Pole sana dogo,
Hapo ni kujiamini tu kama wadau wengi walivosema lakini pia uwe na manzi uliemzoea, mtafute manzi ambae hata isiposimama hutakua na stress za kudharauliwa...
Nashukuru kaka[emoji120][emoji120]
 
Nashukuru kaka[emoji120][emoji120]
Ogopa stress utajiona huna thamani
Jitahidi hata ukipiga kimoko tu kwa dk 1 ni maendeleo hayo usisubiri manzi akisifie jiaifie moyoni mwako haijalishi kama yeye karidhika au lah ila wewe unajua kuna hatua umepiga

JIKUBALI
 
Back
Top Bottom