Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Last edited by a moderator:
Sitaki hata kusikia achilia mbali kuona...Tuwe wakweli mwanamke akiwa rafu unaweza kumpenda eti kisa ana papuchi? wewe unamfuata kwa sababu ya urembo wake! na ili a-maintain urembo huo ulioupenda ni lazima ajirembe kama ulivyo mkuta, na urembo ni gharama jamani! kama ulitaka papuchi tu basi tafuta mwnamke anaye taka utamu wako tu na wewe utamu wake tu!
Unaingia mahusiano na mrembo lazima msaidiane kumentain kitu mnacho kipenda wote (ur common interest) sasa unataka aghalimike yeye tu huku na wewe unapenda awe hivyo? usikwepe majukumu yako ndio yalikuleta hapa duniani take easy sawa ndugu?
Na uke sio kukupikia,kukufulia wala kukuhudumia....over!
Si unakaa pembeni kuepusha hizo stress..................
Tuwe wakweli mwanamke akiwa rafu unaweza kumpenda eti kisa ana papuchi? wewe unamfuata kwa sababu ya urembo wake! na ili a-maintain urembo huo ulioupenda ni lazima ajirembe kama ulivyo mkuta, na urembo ni gharama jamani! kama ulitaka papuchi tu basi tafuta mwnamke anaye taka utamu wako tu na wewe utamu wake tu!
Unaingia mahusiano na mrembo lazima msaidiane kumentain kitu mnacho kipenda wote (ur common interest) sasa unataka aghalimike yeye tu huku na wewe unapenda awe hivyo? usikwepe majukumu yako ndio yalikuleta hapa duniani take easy sawa ndugu?
Mapi unakunywa bia gani?
Na bado utalia sana hapa duniani. Emiliasi G Penda usipende jasho lako litaliwa hadi ufe, na ukichelewa kufa unaweza kuuawawa vile vile watu wapate urithi!
Am sorry ke mwenzangu, huu ni wajibu wetu!!! Ndiyo sababu tuna nguvu ya kuwashupalia watuhudumie...
Kula uliwe!! Uza ununuliwe upo hapo???
Tuwe wakweli mwanamke akiwa rafu unaweza kumpenda eti kisa ana papuchi? wewe unamfuata kwa sababu ya urembo wake! na ili a-maintain urembo huo ulioupenda ni lazima ajirembe kama ulivyo mkuta, na urembo ni gharama jamani! kama ulitaka papuchi tu basi tafuta mwnamke anaye taka utamu wako tu na wewe utamu wake tu!
Unaingia mahusiano na mrembo lazima msaidiane kumentain kitu mnacho kipenda wote (ur common interest) sasa unataka aghalimike yeye tu huku na wewe unapenda awe hivyo? usikwepe majukumu yako ndio yalikuleta hapa duniani take easy sawa ndugu?
kwa hiyo hata dudu wasitunyonye?
Yeah nalijua hilo best ...but as long as wanaona kutuhudumia siyo jukumu lao basi sisi tuyaache yetu..
Ndoa lazima ibalance I mean yeye afanye majukumu yake kunihudumia na mimi nimuhudumie...sasa wao wanataka maisha ya mteremko na kukimbia.majukumu yao kwetu.
naunga mkono hoja dau lake la mia halafu anataka wa 4,000 lazima aje kulia lia huku
Njoo nikupe mbwembwe basi...
Banaeh mimi nakubaliana na mleta mada ...uume si pesa...bali uke ndo pesa....Case yangu mimi huwa nahonga tuu tangu nipo shuleni niliwahi kula ada kipindi F 5 ilikaribia kula kwangu kuilipa.asa tangia hapo ,chuo,kazi hadi leo nahonga tu wala sijahongwa.Sii nia yangu kueleza ulofa wangu ila ku-justfy kwamba ..kwa bibi ndo mpango wa ela.
Tatizo letu sisi tunapenda tundu alafu tunashindwa kuelewa tundu lenyewe hilo huwa mwisho wa tendo ndilo linapokea uchafu linapaswa kusafishwa vizuri na kundolewa hizo shombo ili kesho napo litumike, lisipo safishwa na kutoa harufu mbaya mtu anakuja hapa demu wangu ananuka papuchi! akiombwa hela za matumizi ya papuchi anakuja hapa analia!!! sasa mmuwekwe wapi nyie? lazima tujue mapenzi ni raha si karaha ili upate raha yeyote ile gharama haziepukiki!!!!!!!!!! punyeto yenyewe lazima ununue sabuni au mafuta, sasa mrembo anaye nukia ukimaliza unataka tena inakuwaje?
Biashara matangazo...Subiria PM za wanaojiuza.