"uume siyo pesa"

"uume siyo pesa"

Hahahah wewe bwana.

Kwa hiyo atabakia kuita warembo mashemeji?

Tusio na hela kazi tunayo.

wewe bibi karidhika hawa wanalia lia wanataka mambo makubwa wanayashindwa.Mekumiss sana wewe
 
Banaeh mimi nakubaliana na mleta mada ...uume si pesa...bali uke ndo pesa....Case yangu mimi huwa nahonga tuu tangu nipo shuleni niliwahi kula ada kipindi F 5 ilikaribia kula kwangu kuilipa.asa tangia hapo ,chuo,kazi hadi leo nahonga tu wala sijahongwa.Sii nia yangu kueleza ulofa wangu ila ku-justfy kwamba ..kwa bibi ndo mpango wa ela.
 
wewe bibi karidhika hawa wanalia lia wanataka mambo makubwa wanayashindwa.Mekumiss sana wewe

We umenikimbia ndo maana. Baadae ntakusabahi mtaa wa pili kule.
 
Usilte ngonjeara hapa km huna hela kaa pembeni ww khaaaaa!!
Watu km ninyi mkiombwa pesa muna lalama hamfai kwa hii jamii ya sasa

Halafu hivyo vihela venyewe ss wanavyokaa kutusimanga na kutupigia makelele ss
Ndogo sn ila lol
 
Tuwe wakweli mwanamke akiwa rafu unaweza kumpenda eti kisa ana papuchi? wewe unamfuata kwa sababu ya urembo wake! na ili a-maintain urembo huo ulioupenda ni lazima ajirembe kama ulivyo mkuta, na urembo ni gharama jamani! kama ulitaka papuchi tu basi tafuta mwnamke anaye taka utamu wako tu na wewe utamu wake tu!
Unaingia mahusiano na mrembo lazima msaidiane kumentain kitu mnacho kipenda wote (ur common interest) sasa unataka aghalimike yeye tu huku na wewe unapenda awe hivyo? usikwepe majukumu yako ndio yalikuleta hapa duniani take easy sawa ndugu?

Waambie wenzio hao
 
Tunayataka wenyewe si utafute wa aina yako,load..., search.... hadi kijijini kwenu! tatizo tunapenda tendo la ndoa kabla ya ndoa yenyewe kama watu wote tunge kuwa tunasubiri ndoa tusinge kuja kulia hapa tunavunja miko wenyewe tukivunjiwa tunalia! tunataka tendo la ndoa majukumu mengine ya ndoa hatutaki!!!!!!

Dah
Bahati mbaya I'm occupied
Salute! !!!!!

Manaake mwanaume akikutaka ukimwambia no sex hakusomi
Asantee kaka
 
Back
Top Bottom