wakuu
happy Mapinduzi day
imani yangu ninya kuwa mnaendeleaa vizurii na shughulii zenuu
wakuu naombeni niwasilishe hili mbele ya wadau wangu wa Jf, mnipe mawazo na ushauri wenu maana, naona inaniwiaa vigumu.
Ni hivi, in short mimi nimejaaliwa sana sehemu zangu za siri, huki nyie mwaita msolopaganz, mara mkuyange, lakinii watoto wa kike huita Mashine
kwanza kabisa nikikutana na mwanamke yoyote ninaye mpenda au niliye na hisia nayee, unakuwa vigumuu kuzuiaa hisia kwani mshipa hutokeza kwa trouser na mata nyingi wamekuwa wakinicheka na kuniita borodinda,
Ninapokuwaa na washkaji au mademu tukipiga story za mapenzi huwa naishiaa kujibana miguu kwanii shina hua linasimama sanaa, nimejitahi kuvaa boxer za kubana lkinini imeshindikana wakuu
mara nyingi sana kilannikikutana na mwana mke katikati ya shoo huanza visingizioo vya kuumwa tumbo au kichwa ili kuahirisha mechi,
nimekuwa nikipata shida kwa vibinti
nikasema ngoja nijaribu kwa ma Bigg mammy lkinii wangi wamakuwaa wakinikimbiaaa
Wakuu nashindwa kujizuiaa hisiaa zangu mnisaidie dawa gani nitumiee Kupunguza, au nivae nguo gani ilinhata nikitembeaa kisicheze kwenye suruali
NAOMBENI MSAADA WENU WAKUU ILI NA MIMI NIISHI KAMA NYIE..
Wasalaaam