ni kweli mtazamo wako ila unatakiwa ujifikirie tena kabla ya kuandikaMwanaume Rijali Mwenye Ndevu Nyeusi, Misuli Ya John Cena, Na Vijimbi Vya Samatta Ukiwa Nurse Nakudharau Mno. Wanaume Manurse Mnivumilie Ni Mtazamo Wangu.
Kwel mkuukazi ni kazi ilimradi iwe halali tu hayo mengine ni mbwembwe tu
kuna ka ukweli hasa kwa upande wa men c kumaliza tu chuo.hata wakiwa chuoni ukimuuliza unasomea nini utamsikia nasomea madawa(famasi) au utabibu(udaktari) hawezi sema nasomea uuguzi(nursing) japo wanawake wanaotoka labor wakihudumiwa na manesi wanaume wanafarijika sana na kuwasifiaKatika uchunguzi wangu nimegundua uuguzi ni moja ya fani za afya inayodharaulika na hii ilitokana na background history ya fani hii, fani hii mwanzoni ilikuwa watu kutoka darasa la saba na wakati mwingine wengine walitumia vyeti vya kidato cha nne vya ndugu zao.
Nimepata kuona baadhi ya jamaa waliomaliza uuguzi hasa kwa ngazi ya bachelor degree au diploma wanapomaliza hasa jinsia ya me huwa hawapendi kusema wamemaliza kusomea nini.
Na hii ni kwa sababu ya hali husika ya fani hii eneo la kazi any way tunapoelekea fani ya uuguzi yaweza kuwa nzuri kulingana na watu husika na wenye sifa stahili kusoma fani hii
Mie mwanaume hapa nasoma uuguzi na ukunga naipenda sana kozi hii Sasa ww mbn unasema kuwa tuna jibu tunasom pharmacy au medicine mie hapa sisomi hizo Sasa napiga nursing tukuna ka ukweli hasa kwa upande wa men c kumaliza tu chuo.hata wakiwa chuoni ukimuuliza unasomea nini utamsikia nasomea madawa(famasi) au utabibu(udaktari) hawezi sema nasomea uuguzi(nursing) japo wanawake wanaotoka labor wakihudumiwa na manesi wanaume wanafarijika sana na kuwasifia
mkuu..daktari,anasaidiwa..na..nesi.jiulize..katika..hospital..zetu..kuna..madaktari..wangapi,na..wanahudumia..vp..wagonjwaManesi huwa hawapo comfortable ila asikwambie mtu udaktari ni fani ya heshima sayari hii ikifuatia na uanajeshi.
Mungu awabariki hawa wataalamu kwa kulinda maisha ya watu.
hongera..sana,mkuuMie mwanaume hapa nasoma uuguzi na ukunga naipenda sana kozi hii Sasa ww mbn unasema kuwa tuna jibu tunasom pharmacy au medicine mie hapa sisomi hizo Sasa napiga nursing tu
ikiwa,hivyo..kusingekuwa..na..maisha..tungeacha,watu..wafe.pia..mwalimu,wa..kindergaten..asingetoa..ujinga,kwako..though..ujinga,kwako..umebaki.Kusoma nursing ni sawa na kusomea kindergarten unakuwa ni mtu wa kushika vitu vyenye kuleta kichefuchefu kila wakati
Fani ya heshima ni ile ya ushehe na upadri tu,We angalia anapokufa mtu na unapofika wakati wa maziko watu wa kiroho hupewa kipaumbele sana hata akifa naniManesi huwa hawapo comfortable ila asikwambie mtu udaktari ni fani ya heshima sayari hii ikifuatia na uanajeshi.
Mungu awabariki hawa wataalamu kwa kulinda maisha ya watu.
Bado huyo mtu anaepigania uhai wa mtu anapaswa kuheshimiwa sanaFani ya heshima ni ile ya ushehe na upadri tu,We angalia anapokufa mtu na unapofika wakati wa maziko watu wa kiroho hupewa kipaumbele sana hata akifa nani
Na pia huyo anayemhudumia mgonjwa ambaye ni docta anapokuwa amefika mwisho wa matibabu yake mwisho wa siku anamtegemea mungu ,uwezo na akili ya mwanaadamu hapo inakuwa imefikia mwishoBado huyo mtu anaepigania uhai wa mtu anapaswa kuheshimiwa sana
We musa wa nursing 3 dip... pambana tu na hali yako jombajombi mimi siko kcmc bana ni uchunguzi tu[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ndio mkuu ila kiuhalisia vyote vyatoka kwa Mungu so Mungu ni wakushukuriwa zaidi.Na pia huyo anayemhudumia mgonjwa ambaye ni docta anapokuwa amefika mwisho wa matibabu yake mwisho wa siku anamtegemea mungu ,uwezo na akili ya mwanaadamu hapo inakuwa imefikia mwisho