Uuguzi ni fani inayodharaulika?

Uuguzi ni fani inayodharaulika?

Mwizukulu jilala

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
1,094
Reaction score
942
Katika uchunguzi wangu nimegundua uuguzi ni moja ya fani za afya inayodharaulika na hii ilitokana na background history ya fani hii, fani hii mwanzoni ilikuwa watu kutoka darasa la saba na wakati mwingine wengine walitumia vyeti vya kidato cha nne vya ndugu zao.

Nimepata kuona baadhi ya jamaa waliomaliza uuguzi hasa kwa ngazi ya bachelor degree au diploma wanapomaliza hasa jinsia ya me huwa hawapendi kusema wamemaliza kusomea nini.

Na hii ni kwa sababu ya hali husika ya fani hii eneo la kazi any way tunapoelekea fani ya uuguzi yaweza kuwa nzuri kulingana na watu husika na wenye sifa stahili kusoma fani hii
 
katika uchunguzi wangu nimegundua uuguzi ni moja ya fani za afya inayodharaulika na hii ilitokana na background history ya fani hii, fani hii mwanzoni ilikuwa watu kutoka darasa la saba na wakati mwingine wengine walitumia vyeti vya kidato cha nne vya ndugu zao. ....nimepata kuona baadhi ya jamaa waliomaliza uuguzi hasa kwa ngazi ya bachelor degree au diploma wanapomaliza hasa jinsia ya me huwa hawapendi kusema wamemaliza kusomea nini. ......na hii ni kwa sababu ya hali husika ya fani hii eneo la kazi any way tunapoelekea fani ya uuguzi yaweza kuwa nzuri kulingana na watu husika na wenye sifa stahili kusoma fani hii
Huu uchunguzi wako mbona unautata hebu fafanua kidogo maana uuguzi ndiyo fani nzuri na yenye ajira baada ya shule tu
 
kweli,na..wengi..wanasoma..nursing..ila..hawapendi..kuonekana,wanasoma..hiyo.
napenda,sana..hii..fani..ningesoma,physics..wallah,ningekuwa..nesi..ama..mkunga.
 
Mshkaji wangu kasoma nursing, kitaa anasema ni Mwl, sasa najiuliza kupi bora, kashndwa hata kusema dr au injinia
 
Mwanaume Rijali Mwenye Ndevu Nyeusi, Misuli Ya John Cena, Na Vijimbi Vya Samatta Ukiwa Nurse Nakudharau Mno. Wanaume Manurse Mnivumilie Ni Mtazamo Wangu.
 
Endeleza kudharau
[HASHTAG]#mimi[/HASHTAG] ni muuguzi wa kiume,nimeajiriwa kwenye hospital ya serikali pia nimejiajiri nna miliki zahanati pia ni lecture......Sasa wewe endelea kuzarau watu na kuwakatisha tamaa
[HASHTAG]#Nikueleze[/HASHTAG] kidogo mwaka 2014salary yangu kwa upande wa serikali ilikua inanzia 0.7m...... Sasa imagine Adi Leo napata kiasi gani? Serikalini .....zahanati yangu inaingiza kiasi gani? Kwa mwezi ....chuo ninacho fundisha nalipwa kiasi gani?
[HASHTAG]#mkuu[/HASHTAG] endelea kuogopa kazi kisa we rijali Una ndevu na misuli Kama johncena wenzako wanapata pesa
we jamaa si mwalimu NT
 
Mwanaume Rijali Mwenye Ndevu Nyeusi, Misuli Ya John Cena, Na Vijimbi Vya Samatta Ukiwa Nurse Nakudharau Mno. Wanaume Manurse Mnivumilie Ni Mtazamo Wangu.
In nature nursing ni kwa ajili ya wanawake
Nurse anatakiwa kuwa emotional kwa mgonjwa anapo m care na hyo character ni ya wanawake sio wanaume
 
In nature nursing ni kwa ajili ya wanawake
Nurse anatakiwa kuwa emotional kwa mgonjwa anapo m care na hyo character ni ya wanawake sio wanaume
Ukiwa na labour pain ukahudumiwa na mwanamme ndo utajua raha ya mwanamme kuwa Nurse japo si kwa wanaume wote.
 
In nature nursing ni kwa ajili ya wanawake
Nurse anatakiwa kuwa emotional kwa mgonjwa anapo m care na hyo character ni ya wanawake sio wanaume
Mbona Nurses wanawake ndo wanaongoza kwa kauli chafu kwa wagonjwa? Je, ni nature au perception inayodetermine kuwa nursing ni kazi ya wanawake?
 
Mwanaume Rijali Mwenye Ndevu Nyeusi, Misuli Ya John Cena, Na Vijimbi Vya Samatta Ukiwa Nurse Nakudharau Mno. Wanaume Manurse Mnivumilie Ni Mtazamo Wangu.
We endelea kuwatusi, siku ukiingia anga zao utapimwa njia ya haja kubwa
 
Manesi huwa hawapo comfortable ila asikwambie mtu udaktari ni fani ya heshima sayari hii ikifuatia na uanajeshi.
Mungu awabariki hawa wataalamu kwa kulinda maisha ya watu.
 
Mwanaume Rijali Mwenye Ndevu Nyeusi, Misuli Ya John Cena, Na Vijimbi Vya Samatta Ukiwa Nurse Nakudharau Mno. Wanaume Manurse Mnivumilie Ni Mtazamo Wangu.
Mkuu siku ukijishtukia upo wodi au mkeo, ndugu kalazwa hii kauli utaifuta mara moja.
 
Mwanaume Rijali Mwenye Ndevu Nyeusi, Misuli Ya John Cena, Na Vijimbi Vya Samatta Ukiwa Nurse Nakudharau Mno. Wanaume Manurse Mnivumilie Ni Mtazamo Wangu.
nurse ni nani ? majukumu yake ni yapi ? ni vizuri ukaanzia hapa ili akili yako ikae sawa !
 
Back
Top Bottom