JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,464
Mimi ni mkazi wa Kawe - Mzimuni karibu na Shule ya Ali Hassan Mwinyi, kwa muda wa wiki yote hii kama sijakosea ni kuanzia Jumapili (Machi 17, 2024) nimeshuhudia taka zikizagaa mitaani tena nyingine zikiwa katikati ya Barabara.
Mazingira ya utunzani taka mtaani kwetu ni ya ovyo sana, hili tumelalamika muda mrefu lakini hatua hazichukuliwi, sasa baada ya kuona tumekuwa kimya wameamua kutupa taka barabarani na Serikali ya Mtaa ipo kimya tu.
Hii ni hatari kwa afya, kwa wapita njia na hata kwa sisi wakazi wa Kawe, kibaya zaidi kuna Watoto wamekuwa wakipita na kuanza kuokota baadhi ya vitu kwenye takataka hizo.
Zoezi la kuzoa taka lafanyika - Hatimaye wazoaji taka wametimiza wajibu wao kwa kuzoa taka Mtaa wa Mzimuni - Kawe
Mazingira ya utunzani taka mtaani kwetu ni ya ovyo sana, hili tumelalamika muda mrefu lakini hatua hazichukuliwi, sasa baada ya kuona tumekuwa kimya wameamua kutupa taka barabarani na Serikali ya Mtaa ipo kimya tu.
Hii ni hatari kwa afya, kwa wapita njia na hata kwa sisi wakazi wa Kawe, kibaya zaidi kuna Watoto wamekuwa wakipita na kuanza kuokota baadhi ya vitu kwenye takataka hizo.
Zoezi la kuzoa taka lafanyika - Hatimaye wazoaji taka wametimiza wajibu wao kwa kuzoa taka Mtaa wa Mzimuni - Kawe