Tembomtata
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 266
- 426
Huwa inaniuma sana ninapo pishana na magari ya serikali, madereva wengi (sio wote) hawafuati sheria, uendeshaji wao sio wa kujali utunzaji wa haya magari.
Haya magari yangekuwa yanatunzwa vizuri both na taasisi lakini pia na madereva wenyewe yangepunguza gharama kubwa zinazotumika kwenye manunuzi ya magari mapya na utunzaji wa yaliyopo.
Unakutana na gari ya serikali ya mwaka 2010 imechoka haifai, 10 years gari imenunuliwa mpya leo haifai kweli are we serious? Taasisi zingekuwa zinapimwa kwa matumizi mazuri ya resources sio tu uzalishaji.
Siku moja niko kwenye car wash, nikawa naongea na dereva mmoja wa serikali ananiambia kuna wakati inafika yeye ndo inabidi atafute hela ili afanye service sikutaka kuamini moja kwa moja ila if that is true then we have a very long way to go.
Niiombe Serikali yangu, ifanye jambo kwenye hili kama ni trainings kwa malogistics officers na dereva ama lolote lile linalowezekana
Haya magari yangekuwa yanatunzwa vizuri both na taasisi lakini pia na madereva wenyewe yangepunguza gharama kubwa zinazotumika kwenye manunuzi ya magari mapya na utunzaji wa yaliyopo.
Unakutana na gari ya serikali ya mwaka 2010 imechoka haifai, 10 years gari imenunuliwa mpya leo haifai kweli are we serious? Taasisi zingekuwa zinapimwa kwa matumizi mazuri ya resources sio tu uzalishaji.
Siku moja niko kwenye car wash, nikawa naongea na dereva mmoja wa serikali ananiambia kuna wakati inafika yeye ndo inabidi atafute hela ili afanye service sikutaka kuamini moja kwa moja ila if that is true then we have a very long way to go.
Niiombe Serikali yangu, ifanye jambo kwenye hili kama ni trainings kwa malogistics officers na dereva ama lolote lile linalowezekana