Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,483
- 40,497
Utundu, utani, maneno makali, kujali, kuchepuka kisayansi ndio kunakonifanya nidumu kwenye ndoa.
Ni vitu vidogo vidogo sana, lakini ukivipangilia na ukavitumia kwa muda sahihi ndoa yako itakuwa ni ya furaha na amani tele.
Hutomsumbua mpenzi wako akupe tendo pale yeye ambapo hajisikii, muda mwingi utakuwa uko bize kwenye uzalishaji n.k bado miaka 2 nitimize miaka 15 ambapo naona kama bado nachumbia vile.
Ni vitu vidogo vidogo sana, lakini ukivipangilia na ukavitumia kwa muda sahihi ndoa yako itakuwa ni ya furaha na amani tele.
Hutomsumbua mpenzi wako akupe tendo pale yeye ambapo hajisikii, muda mwingi utakuwa uko bize kwenye uzalishaji n.k bado miaka 2 nitimize miaka 15 ambapo naona kama bado nachumbia vile.