Utamu wa papuchi unatofautianaKwanini uchepuke sasa!!!
mtihani mkubwa sio kidogo kaka. Wee gegeda hizo papuchi utakuja kulia siku ukijagundua papuchi mkeo anagawa aya wee jidai kupendaniko kwenye ndoa mwaka wa nne vsasa na sijawahi kuchepuka ingawa majaribio kadhaa yamewahi kutokea ila hayakufanikwa.
ilaa naona kuna kaukweli fulani mwanamme kwa mke mmoja ni kamtihani kidogo
japokuwa kitu kama hicho haikiwezekani kwa huyu mdada ila haita niuma wala ninimtihani mkubwa sio kidogo kaka. Wee gegeda hizo papuchi utakuja kulia siku ukijagundua papuchi mkeo anagawa aya wee jidai kupenda
Hivi mliokuwa kwe ye ndoa. Nawacicha nini wake zenu kuwa unachepuka. Ebo kwani alikumuta bikra wewe bwana.Kama uonyeshi mabadiliko yoyote katika kuhudumia,ni vigumu yeye kukufuatilia
japokuwa kitu kama hicho haikiwezekani kwa huyu mdada ila haita niuma wala nini
sikumkuta bikra na pia mimi sikua bikra, lakini miaka minne mkuu sio haba kwa ushuhuda wa watu wengi miezi tu wameshachepuka! so najivuniaWee huwanui wanawake.... Kama ulimkuta bikra sawa lakini ulimkuta breki ya kwanza pu.mbu unanifariji tuu hapo. Miaka minne midogo sana kwenye ndoa.
Kha miezi alishachepuka sasa sii bora usioe tuu ujigegede kama mzabzab.sikumkuta bikra na pia mimi sikua bikra, lakini miaka minne mkuu sio haba kwa ushuhuda wa watu wengi miezi tu wameshachepuka! so najivunia
Mko wawili katika ndoa, na sio juhudi zako tu. Na mwenza wako kuna anavyochukulia poa ndio maana mna miaka 13.Utundu, utani, maneno makali, kujali, kuchepuka kisayansi ndio kunakonifanya nidumu kwenye ndoa.
Ni vitu vidogo vidogo sana, lakini ukivipangilia na ukavitumia kwa muda sahihi ndoa yako itakuwa ni ya furaha na amani tele.
Hutomsumbua mpenzi wako akupe tendo pale yeye ambapo hajisikii, muda mwingi utakuwa uko bize kwenye uzalishaji n.k bado miaka 2 nitimize miaka 15 ambapo naona kama bado nachumbia vile.
Kwanini uchepuke sasa!!!
Hahahaha , msitufanyie hivyo jamaniUsimlaumu mtoa mada ni kasumba yetu inborn trait .. Kama Solomon alikuwa na michepuko 600 ndo ujue ni kawaida yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sunna inabidi ifanywe na woteNasikia ni sunna
Basi oeni tujijue tupo wangapi kuliko kuchepukaniko kwenye ndoa mwaka wa nne vsasa na sijawahi kuchepuka ingawa majaribio kadhaa yamewahi kutokea ila hayakufanikwa.
ilaa naona kuna kaukweli fulani mwanamme kwa mke mmoja ni kamtihani kidogo
Kuoa hapana,nikuongeza gharamaBasi oeni tujijue tupo wangapi kuliko kuchepuka