poa ngoja tusubiriTungoje Database bidada kuanzia jan to july pale hawatangazagi ajira mpya mala nyingi wanakuwa wanafanya kuchomoa kwenye database ikipita hapo basi Mungu ana njia yake nyingine amekuandalia.
poa ngoja tusubiriTungoje Database bidada kuanzia jan to july pale hawatangazagi ajira mpya mala nyingi wanakuwa wanafanya kuchomoa kwenye database ikipita hapo basi Mungu ana njia yake nyingine amekuandalia.
Asante Mkuu hizi interview nilijipanga mwezi wote tangu zimetangazwa yaniUsikate tamaa ndugu,interview zitakuja nyingi,we jipange tu.
Mi nilifanya usaili,BOT kama mara 4 hivi,lakini sikupata kitu,wenzangu wakachukuliwa,
Hutakiwi kukata tamaa ndugu,ukikosa huko,tafuta pengine,
Ilo la kwanza nimezielezea zile invoice, receipt, profoma invoice, purchase order,debit note,pay inslip
....mkuu mbona umeenda chaka sasa!
japo sijui chochote kuhusu accountancy, ila inaonesha vitu unajua ila haujui kuwa 'specific'Wakuu nacharaza keyboard hapa na majonzi tele bado siamini amini kabisa kweli na kusoma miaka mitatu BAF kwa haya maswali ya written kwa Accountant
1.Accounting document proof (explain)
2.Examples of Asset ( na kujifanya Niko deep nikadefined nikaweka zile type zake ndo nikaweka na mifano zake kama zote lakini wapii)
3.types of Expenditure according on accounting purpose (explain)
4. Books of prime entry (explain)
Nipate 50% Kweeeeli ?? Utumishi mi nawaamini sana lakini kwa hili mmenidharirisha saaaaana, Labda yangekua ni maswali ya consolidation, Wahasibu wenzangu mtihani wa maswali hayo mtu kupata hivyo bora afukuzwe akasome marketing au vinginee, mtusamehe sana tuliopata hivyo. SOMETHING IS WRONG SOMEWHERE
Niwatakie kila la kheri mnaoenda kwenye oral, ila sisi wenzenu HATUJASHINDWA HAYO MASWALI ila leo ndo nimeamini matokeo yana mengi, kesho mapema tu nawahi ubungo nirudi kwetu Mwanza. Ahsante
Nimejifunza sasajapo sijui chochote kuhusu accountancy, ila inaonesha vitu unajua ila haujui kuwa 'specific'
Mfano unaulizwa examples za kitu fulani, wewe unaanza ku-define, nani kakuuliza ku-define!!?
maswali mepesi yanahitaji majibu mepesi, wewe ukijifanya uko deep lazima ufeli
Usijali we wa Mwanza utapata tu kazi,Wakuu nacharaza keyboard hapa na majonzi tele bado siamini amini kabisa kweli na kusoma miaka mitatu BAF kwa haya maswali ya written kwa Accountant
1.Accounting document proof (explain)
2.Examples of Asset ( na kujifanya Niko deep nikadefined nikaweka zile type zake ndo nikaweka na mifano zake kama zote lakini wapii)
3.types of Expenditure according on accounting purpose (explain)
4. Books of prime entry (explain)
Nipate 50% Kweeeeli ?? Utumishi mi nawaamini sana lakini kwa hili mmenidharirisha saaaaana, Labda yangekua ni maswali ya consolidation, Wahasibu wenzangu mtihani wa maswali hayo mtu kupata hivyo bora afukuzwe akasome marketing au vinginee, mtusamehe sana tuliopata hivyo. SOMETHING IS WRONG SOMEWHERE
Niwatakie kila la kheri mnaoenda kwenye oral, ila sisi wenzenu HATUJASHINDWA HAYO MASWALI ila leo ndo nimeamini matokeo yana mengi, kesho mapema tu nawahi ubungo nirudi kwetu Mwanza. Ahsante
Jifunze kuwa specific na kuelewa swali..Wakuu nacharaza keyboard hapa na majonzi tele bado siamini amini kabisa kweli na kusoma miaka mitatu BAF kwa haya maswali ya written kwa Accountant
1.Accounting document proof (explain)
2.Examples of Asset ( na kujifanya Niko deep nikadefined nikaweka zile type zake ndo nikaweka na mifano zake kama zote lakini wapii)
3.types of Expenditure according on accounting purpose (explain)
4. Books of prime entry (explain)
Nipate 50% Kweeeeli ?? Utumishi mi nawaamini sana lakini kwa hili mmenidharirisha saaaaana, Labda yangekua ni maswali ya consolidation, Wahasibu wenzangu mtihani wa maswali hayo mtu kupata hivyo bora afukuzwe akasome marketing au vinginee, mtusamehe sana tuliopata hivyo. SOMETHING IS WRONG SOMEWHERE
Niwatakie kila la kheri mnaoenda kwenye oral, ila sisi wenzenu HATUJASHINDWA HAYO MASWALI ila leo ndo nimeamini matokeo yana mengi, kesho mapema tu nawahi ubungo nirudi kwetu Mwanza. Ahsante
Jifunze kuwa specific na kuelewa swali..
Unaonekana unajua vitu sema hujui jinsi ya kujibu maswali na kujua aina gani ya watu watasahihisha....
Ukiulizwa define define....ukiambiwa toa mifano ,,,toa mifano usi define....
Bila sahaka umejifunza...... Jibu swali linacho hitaji usiandike usicho ulizwa hawana muda huo wa kuanza kutafuta majibu yako wapi.....
Hawa we utumishi pia unaombaga?