Prisoner of hope
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 2,440
- 2,575
Pole sana.
#tiket umekata lakini
#tiket umekata lakini
Ivi ukiweka tu kwamba non current na current ukaingiza na mifano yake tofauti kuna ubaya gani hapo mkuuNa sometimes kujua sana na kuonesha umesoma sana ndo kunakowafanya mshindwe mana umeulizwa example of assets tuu we unaweka mpaka types. Realy?
Hakuna icho kwenye kusoma, sana sana inakupotezea muda ww tu wakumaliza bta ukiongeza kitu ktk kujibu swali sio kosa kama ndani yake lile jibu limepatikanaIvi ukiweka tu kwamba non current na current ukaingiza na mifano yake tofauti kuna ubaya gani hapo mkuu
Hivi kwa oral inawezekana kwenda kuwauliza na wakakuonyesha marks zako ili ujue kwa kiasi gani ulishindwa mkuu?Rudi utumishi ukawaulize umekosea wapi. Watakuelewesha.
Sasa si bora wewe unaishia written unalalamika jitahidi fanyia kazi unapoteleza mkuu huko oral ndo kunaumiza kichwa vibaya maana unakuta kila kitu unajibu sawa briefly and smart alafu unakosa maana account sikuzote haitaki mbwembwe mfano elements of F.S ni hizo utakazolist wewe na mimi ni hizo hakuna mbwembwe ila linakuja tokeo unakuta hola hapo ndo ungelia mkuu na unashangaa nafasi zinatangazwa 3 il wanaoitwa kazini 2 nafasi moja inayeyuka anyway usikate tamaa jiandae vizuri mimi mwenzio hii oral ya pili na naamini nafanya vizuri japo sijui wenzangu nao huwa wanajibu vipi ila chalii,nampango niende uliza huwa nakosea wapi labda na hata wanionyeshe marks zangu za oral zikoje au nimeshindwa kwa % ngapi.
Asante sana Mkuu, Mungu atusaidie tu tutazamie milango minginepole sana mkuu, Mungu ajaalie ufike mwanza salama BUT kumbuka mlango mmoja wa mafanikio ukifungwa mwingine hua unafunguka sema tuu hua tunapoteza muda kuendelea kuangalia ule uliofungwa. Good luck young man.
Kauli yako imenifariji japo kuwa kesi yangu ni ya tofauti kidogo.pole sana mkuu, Mungu ajaalie ufike mwanza salama BUT kumbuka mlango mmoja wa mafanikio ukifungwa mwingine hua unafunguka sema tuu hua tunapoteza muda kuendelea kuangalia ule uliofungwa. Good luck young man.
mkuu njia ya iringa ina magari mengi sana ulishindwa hata kupanda fuso....Kauli yako imenifariji japo kuwa kesi yangu ni ya tofauti kidogo.
Nilifauli interview zote kwenye kampun moja hiv . Halaf wakaa kimya kama 3months hiv .. wakajanipigia simu kuwa wananihitaji 9 asubuhi dar.. wkt mm niko iringa by then nilikiwa nafanya kazi huko. Nikawaomba hata wanipe one day nifike dar maana tulishajadili hadi salary.
Wakasema sorry watachukua mtu mwingine sababu niko mbali. Niliumia sana
Hujanielewa boss. Yaani walikuwa wananihitaji siku hiyo hiyo si kesho yake.mkuu njia ya iringa ina magari mengi sana ulishindwa hata kupanda fuso....
Usikate tamaa ndugu,interview zitakuja nyingi,we jipange tu.Wakuu nacharaza keyboard hapa na majonzi tele bado siamini amini kabisa kweli na kusoma miaka mitatu BAF kwa haya maswali ya written kwa Accountant
1.Accounting document proof (explain)
2.Examples of Asset ( na kujifanya Niko deep nikadefined nikaweka zile type zake ndo nikaweka na mifano zake kama zote lakini wapii)
3.types of Expenditure according on accounting purpose (explain)
4. Books of prime entry (explain)
Nipate 50% Kweeeeli ?? Utumishi mi nawaamini sana lakini kwa hili mmenidharirisha saaaaana, Labda yangekua ni maswali ya consolidation, Wahasibu wenzangu mtihani wa maswali hayo mtu kupata hivyo bora afukuzwe akasome marketing au vinginee, mtusamehe sana tuliopata hivyo. SOMETHING IS WRONG SOMEWHERE
Niwatakie kila la kheri mnaoenda kwenye oral, ila sisi wenzenu HATUJASHINDWA HAYO MASWALI ila leo ndo nimeamini matokeo yana mengi, kesho mapema tu nawahi ubungo nirudi kwetu Mwanza. Ahsante
thubutu hawakupi wengine huwa tunajitaidi tuingie kwenye data base lakini cha kushangaza mpaka miezi 3 unakuta holaHivi kwa oral inawezekana kwenda kuwauliza na wakakuonyesha marks zako ili ujue kwa kiasi gani ulishindwa mkuu?
Oral ngapi dada umepiga?thubutu hawakupi wengine huwa tunajitaidi tuingie kwenye data base lakini cha kushangaza mpaka miezi 3 unakuta hola
Tafuta CPA mkuuWakuu nacharaza keyboard hapa na majonzi tele bado siamini amini kabisa kweli na kusoma miaka mitatu BAF kwa haya maswali ya written kwa Accountant
1.Accounting document proof (explain)
2.Examples of Asset ( na kujifanya Niko deep nikadefined nikaweka zile type zake ndo nikaweka na mifano zake kama zote lakini wapii)
3.types of Expenditure according on accounting purpose (explain)
4. Books of prime entry (explain)
Nipate 50% Kweeeeli ?? Utumishi mi nawaamini sana lakini kwa hili mmenidharirisha saaaaana, Labda yangekua ni maswali ya consolidation, Wahasibu wenzangu mtihani wa maswali hayo mtu kupata hivyo bora afukuzwe akasome marketing au vinginee, mtusamehe sana tuliopata hivyo. SOMETHING IS WRONG SOMEWHERE
Niwatakie kila la kheri mnaoenda kwenye oral, ila sisi wenzenu HATUJASHINDWA HAYO MASWALI ila leo ndo nimeamini matokeo yana mengi, kesho mapema tu nawahi ubungo nirudi kwetu Mwanza. Ahsante
nilipiga ya sido assistant accountant hiyo ya TBA nimekosaOral ngapi dada umepiga?
Na ni post gani maana kuna post ngumu kutoboa hazitoki sana.
Tungoje Database bidada kuanzia jan to july pale hawatangazagi ajira mpya mala nyingi wanakuwa wanafanya kuchomoa kwenye database ikipita hapo basi Mungu ana njia yake nyingine amekuandalia.nilipiga ya sido assistant accountant hiyo ya TBA nimekosa