ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,265
- 4,453
Hili umekosaIlo la kwanza nimezielezea zile invoice, receipt, profoma invoice, purchase order,debit note,pay inslip
Hili umekosaIlo la kwanza nimezielezea zile invoice, receipt, profoma invoice, purchase order,debit note,pay inslip
Be brief always be brief.Hii mitihani mara nyingi hawasahihisha knowledge wanasahihisha aptitude.Je unajua aptitude ni nini?Majibu ni yapi Mkuu nisahihishe kabisa karibu
Rudi utumishi ukawaulize umekosea wapi. Watakuelewesha.Wakuu nacharaza keyboard hapa na majonzi tele bado siamini amini kabisa kweli na kusoma miaka mitatu BAF kwa haya maswali ya written kwa Accountant
1.Accounting document proof (explain)
2.Examples of Asset ( na kujifanya Niko deep nikadefined nikaweka zile type zake ndo nikaweka na mifano zake kama zote lakini wapii)
3.types of Expenditure according on accounting purpose (explain)
4. Books of prime entry (explain)
Nipate 50% Kweeeeli ?? Utumishi mi nawaamini sana lakini kwa hili mmenidharirisha saaaaana, Labda yangekua ni maswali ya consolidation, Wahasibu wenzangu mtihani wa maswali hayo mtu kupata hivyo bora afukuzwe akasome marketing au vinginee, mtusamehe sana tuliopata hivyo. SOMETHING IS WRONG SOMEWHERE
Niwatakie kila la kheri mnaoenda kwenye oral, ila sisi wenzenu HATUJASHINDWA HAYO MASWALI ila leo ndo nimeamini matokeo yana mengi, kesho mapema tu nawahi ubungo nirudi kwetu Mwanza. Ahsante
Kama una nafasi si mbaya ukaenda, hutapungukiwa kitu kuliko badae uje kusema "ningejua".Labda kama ingekua ni namba lakini Maelezo ngumu sana
Sawa man, maswali manne tu wakisema explain nimeweka mistari miwili tu ilikua mingi sana? Na karatasi ni moja tu hata mbwembwe hazikuwekwaUtumishi hawataki mbwembwe, wmswali ukiulizwa nenda kwenye point moja kwa moja, nilipata kazi utumishi bila kuvuja jasho
Hapana, nmeamua kujiongeza kusiko rasmiNdo nimeyaona sasa. Mkuu wewe foleni yako imefika sasa hivi ?