Tumeipenda wenyewe,, Chaguo letu wenyewe,,
Acha waisome namba eeeeeh,,(waisome namba) sisiem mbele kwa mbeleeee
Hatuna muda wa kupoteza tena cha msingi nafasi hizo watu washaitwa wakafanye kazi
Mmezoea sana kulalamika waswahili acheni hizo, wengine mkajiajiri.
Hapa Kazi Tu.