Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,648
- 3,807
Kwenye tangazo la kuitwa kazini la tar 17 idadi ya watu waloitwa ni pungufu kulingana na ile walotangaza
Mfano kwa nafasi ya afisa utumishi nafasi zilikuwa 40 ila wameita watu 8 tu
nafasi ya afisa tarafa walitangaza nafasi 5 lakini wameita watu wawili
Kwa mwenye majibu au tetesi embu anijuze aisee mana binafsi nlikuwa dissapointed sana ile siku nlipoona hlo tangazo
Mfano kwa nafasi ya afisa utumishi nafasi zilikuwa 40 ila wameita watu 8 tu
nafasi ya afisa tarafa walitangaza nafasi 5 lakini wameita watu wawili
Kwa mwenye majibu au tetesi embu anijuze aisee mana binafsi nlikuwa dissapointed sana ile siku nlipoona hlo tangazo