Hapa ndo nimeelewaHamna mkuu wanaboa Sana hawa utumishi. Imagine mtu katoka kilometer 250 kufuata interview kapata 78 anakatwa. Kwanini wameainisha kwenye Sheria zao kuwa 50% ndiyo kiwango Cha chini??
Si wangesema tu watakavojisikia(watakavoshauriana na mme/mke) wake
Pole Sana ndgYaani ni shida tu
Onyesha mahali Comment yangu imewataja ccm, nyie ndo kila jambo linalowashinda mnasingizia ccm 😂 kwahy hadi ww kufeli unailalamikia ccm 😂Mkuu unawatetea Sana CCM. Sijajua ni Kwanini
Sijafail mkuu. Labda ningekuwa sijafikia 50% Yao. Tofauti na hapo ni mihemuko Yao tu wanaitumia kukadiria.Onyesha mahali Comment yangu imewataja ccm, nyie ndo kila jambo linalowashinda mnasingizia ccm 😂 kwahy hadi ww kufeli unailalamikia ccm 😂
Mkuu bado hujasema na bado utasema tuu
Kama huendi oral bc umefeli, Kubali na usonge mbele kama injiliSijafail mkuu. Labda ningekuwa sijafikia 50% Yao. Tofauti na hapo ni mihemuko Yao tu wanaitumia kukadiria.
Ungepata 90% ungelalamika hv?Hamna mkuu wanaboa Sana hawa utumishi. Imagine mtu katoka kilometer 250 kufuata interview kapata 78 anakatwa. Kwanini wameainisha kwenye Sheria zao kuwa 50% ndiyo kiwango Cha chini??
Si wangesema tu watakavojisikia(watakavoshauriana na mme/mke) wake
Mbaya zaidi n alikuwa mmoja kati ya wale waliokuwa wanapinga usaili 😂 alidhani utumishi wanatania 😂Jamaa kapata 51% wamemla kichwa haamini na hajakubali matokeo
Bado mgeni jijini hapa, hapo bado hujasema jombaaaa
Hio ndo inaitwa karibu mjini
Aibu gani hii?Pole sana ndugu mwalimu, yani huna tofauti na aliyepata 0 😂 ndo mana wengi wao hawakutaka usaili mana wanajijua
View attachment 3215824
😂 Ndio ukubwa huoAibu gani hii?
Amekandwa kawa km Chapati mwalimu hakubari matokeoMbaya zaidi n alikuwa mmoja kati ya wale waliokuwa wanapinga usaili 😂 alidhani utumishi wanatania 😂
Ukubwa wa kukandwa na PSRS ?😂 Ndio ukubwa huo
Amebaki kulalamika tuu 😂 hapo alipoanguka anyanyuke na kusonga mbele kama injili 😂Amekandwa kawa km Chapati mwalimu hakubari matokeo
NDIO ndio mkuuUkubwa wa kukandwa na PSRS ?
PSRS wanakanda walimu km wanafunzi vile yaan walimu wamekula marks za kutisha mpaka hatari tukajua walimu ndio watapiga 100 pepa loteNDIO ndio mkuu