Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 9,751
- 15,545
Dalili moja wapo ambayo ni sign tosha kwamba muhusika ni mtu ambae Dunia inamtalajia kumtumia kama Mtendakazi au kiongozi wa mambo muhimu ya Kiroho ni hii
KUKOJOA KITANDANI.
i. Mtu wa kiroho ni mtu anapokea nguvu na maagizo rohoni na kufanyia kazi mwilini.
Kwanza Tafsiri ya ndoto kuwa unaota ukikojoa au kwenda haja kubwa ni kwamba...
ii. Kama ilivyo kwa Mwili unahitaji kwenda toilet kujisafisha kwa kutoa visivyohitajika mwilini, na Roho ni hivo hivo.
When God remove unclean things to your Soul ni kitendo cha purification or Cleaness kiroho.
iii. Pia kitendo cha mtu kuona jambo ndotoni ni dhahili linatokea kiasi cha kwamba mwili unashindwa kujizui na kusupport ni dalili tosha kwamba Mwili wako umeumbwa kupokea vitu vingi rohoni.
iv. Mungu kuonesha utofauti kati yako na watoto wengine ni utajikijolea sana kitandani hadi pale utakapoa anza kujua kukusanya maarifa ya kiroho kwa kumjua Mungu tangu utotoni.
Nature ya Dunia ni kwamba, Kila chenye thamani kina gharama zake.
Ronaldo au Messi kuwa footballer's kuna gharama wamelipa, kimaisha. Unazijua? Maumivu ni mengi
There is a price to pay to get something Wealth.
KUKOJOA KITANDANI.
i. Mtu wa kiroho ni mtu anapokea nguvu na maagizo rohoni na kufanyia kazi mwilini.
Kwanza Tafsiri ya ndoto kuwa unaota ukikojoa au kwenda haja kubwa ni kwamba...
ii. Kama ilivyo kwa Mwili unahitaji kwenda toilet kujisafisha kwa kutoa visivyohitajika mwilini, na Roho ni hivo hivo.
When God remove unclean things to your Soul ni kitendo cha purification or Cleaness kiroho.
iii. Pia kitendo cha mtu kuona jambo ndotoni ni dhahili linatokea kiasi cha kwamba mwili unashindwa kujizui na kusupport ni dalili tosha kwamba Mwili wako umeumbwa kupokea vitu vingi rohoni.
iv. Mungu kuonesha utofauti kati yako na watoto wengine ni utajikijolea sana kitandani hadi pale utakapoa anza kujua kukusanya maarifa ya kiroho kwa kumjua Mungu tangu utotoni.
Nature ya Dunia ni kwamba, Kila chenye thamani kina gharama zake.
Ronaldo au Messi kuwa footballer's kuna gharama wamelipa, kimaisha. Unazijua? Maumivu ni mengi
There is a price to pay to get something Wealth.