Vipi mkuu, Nape na Mtatiro wanasemaje, katiba mpya vipi?, vipi kuhusu mkutano wa jana wa CCM??
I see this is what you want to hear!! Msalimie mkeo mkuu!
Haya ndo matatizo ya kuanza kupiga msuba ukubwani,we mwana hizaya wewe alokutuma uje chitchat nani,umelazimishwa,au kura zako za uneki hazikutosha ndo ukaja kumalizia mihasira hapa,tena utukome kama mitt romney alivyowakoma wapiga kura wa marekani.