Utofauti wa hizi US special forces

Utofauti wa hizi US special forces

mossad007, ipi athari ya French Foreign Legion kwa nchi kama Tanzania? Maana mimi naweza kwenda kule na nikaruhusiwa kuwa mwanajeshi kwa kutumia false identity and yet natumika kama mfaransa popote pale, ikibidi kuja kuhujumu hata nchi yangu ya kuzaliwa.

Ndahani siku hizi false identity imefutwa unless otherwise wewe ni raia wa ufaransa whether by birth or acquisition hicho ndicho ninachojua kuhusu new regulations cjui kama kuna change yoyote... Yet nafikiri u can acquire false identity after serving 5 yrs of ur initial service tho hiyo iko applicable within the Legion only huwez toka hapo ukarudi likizo Tz under ur declared false ID huku utabaki kua the same Citizen we knew u under ur name of birth. Ila kama ulibadili uraia kupata false ID sasa hiyo ni different case cz the moment u are in ww sio tena mtz and ur movements will b monitered no one will allow u to jeopardy the mighty TZ.
 
Last edited by a moderator:
US army Rangers ---hawa jamaaa ni komandoo ambao huweza kutumiwa kama "spies". Hawa hutumika kama watu wa kwanza kwenda kwenye uwanja wa mapambano ili kuangalia hali ikoje kabla ya askari wengine kupelekwa!


Navy SEALS ---hutumiwa kwa kazi maalumu. Yaani mazingira yanajulikana, mpango unajulikana, mlengwa anajulikana (target) na kazi yao ni kwenda kufanya shambulio maalumu kwa muda mfupi na kuondoka kwenye eneo la tukio. Kwahiyo kwenye vita ambayo Marekani hajui adui yukoje huwa hawapelekwi hawa!

Ila ambush ilitokana na communication failure iliyosababishwa na milima mingi maeneo yale na toka mwanzo waliambiwa you should espect comm problem!

Ndugu wana jukwaa
Naomba maelezo kutoka kwa yeyote mwenye uelewa wa hizi special forces za kimarekani,nimejaribu kufatilia mwisho wa siku nikajikuta zinanichanganya tu,so naomba mnisaidie kujua;

a)Nini tofauti kati ya hizi special forces mbili nitakazo zitaja hapo chini?
b)Ipi kati ya hizo hupewa kipaumbele zaidi ya nyingine?
C)Mafunzo yepi ni magumu zaidi ya mengine?

Special forces zenyewe ni:-

1.US Army Rangers
Hiki ni kikosi cha wanajeshi wa kimarekani waosemekena kuwa ni well trained in the world,wanasema hufanya operaions mbalimbali kote duniani na katika mazingira ya aina yeyote yale.

2.US Navy SEAL
Special force hujumuisha makomandoo mbalimbali wa kimarekani,pia hutumika katika operations mbalimbali

NOW naomba maelezo ya kina tafadhali kwa mwenye kujua tofauti na ufanano kati ya SOf hizo hapo juu
 
Kwani kuziwekea taili ni kitu cha ajabu?

Boti za kivita zinafanyiwa maonyesho kwenye maji au uwanjani? Mbona ndege za kivita hawakuzileta uwanjani (walizirusha angani)?
 
Boti za kivita zinafanyiwa maonyesho kwenye maji au uwanjani? Mbona ndege za kivita hawakuzileta uwanjani (walizirusha angani)?
Je zilivyorushwa angani Ilifyatua mizinga? Je ulitaka ule umati uende baharini wakaziangaliae tu boti wakat inawezekana kuzileta mhala pale na watu wkaziona,mimi nadhani madhumuni ya yale maonyesho yalikuwa tu kuonyesha kwamba tuna vifaa vya aina hii na maelezoaliyokuwa anayatoa mc yalijitosheleza kabisa.
 
Back
Top Bottom