Utofauti wa hizi US special forces

Utofauti wa hizi US special forces

Nakapanya

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2012
Posts
2,096
Reaction score
709
Ndugu wana jukwaa
Naomba maelezo kutoka kwa yeyote mwenye uelewa wa hizi special forces za kimarekani,nimejaribu kufatilia mwisho wa siku nikajikuta zinanichanganya tu,so naomba mnisaidie kujua;

a)Nini tofauti kati ya hizi special forces mbili nitakazo zitaja hapo chini?
b)Ipi kati ya hizo hupewa kipaumbele zaidi ya nyingine?
C)Mafunzo yepi ni magumu zaidi ya mengine?

Special forces zenyewe ni:-

1.US Army Rangers
Hiki ni kikosi cha wanajeshi wa kimarekani waosemekena kuwa ni well trained in the world,wanasema hufanya operaions mbalimbali kote duniani na katika mazingira ya aina yeyote yale.

2.US Navy SEAL
Special force hujumuisha makomandoo mbalimbali wa kimarekani,pia hutumika katika operations mbalimbali

NOW naomba maelezo ya kina tafadhali kwa mwenye kujua tofauti na ufanano kati ya SOf hizo hapo juu
 
swali limekua gumu mno thus way week sasa no body amejihusisha nalo ingawa watu kibao wamepitia hii thread cha msingi hebu google kidogo then uje na feedback hapa labda wataalamu watapata mwanga wa kuanzia.

********* mtazamo tu**********
 
hata wale wa kukomba data Wikipedia na ku-paste hapa hawajakuja mweee :thinking:
 
Tafuta Hizi movies
  • Lone survivor
  • Act of Velor
  • Captain Phillips
 
Army Ranger wapo kwenye US Army tu.. Sisi huku tunaita Land Forces.
Navy SEAL ni Special Naval Warfare Unit wanaooperate katika mazingira yote hawako chini ya Regiment yoyote wao wanaripoti Direct Pentagon chini ya Kamanda wao William Mc Raven tuseme ni kama Jeshi Maalum linalojitegemea wako 8000. Halafu kuna Delta Force wao walikuwepo kabla Navy SEAL wana Operate sana katika Civilian Life lakini hawana tofauti na Navy Seal wao sio paratroopers wana mode ya Infrantry na Amphibian ingawa behind haya yote kuna jambo inabidi ufaham.
With GDP ya dola trillion 16 na Budget ya dola trillion 3 US wana excess ya dola trillion 13 ambayo inabidi waitumie kulinda na kutengeneza mapana ya maslahi yao duniani through
1. Political Influence
2. Military Influence
3. Propaganda..
Huo utitiri wa Makomandoo ni Propaganda na nikuambie tu zaman Pentagon walikua na kitengo cha propaganda against East ( Soviet & Communist Block ) ambacho kilikua kinagharamia filamu zinazoponda East mfano filamu za kuna Rambo mara yupo Vietnam mara anawaua warusi zile zilikua zinagharamiwa na Pentagon kama moja wapo ya propaganda za kuutangaza ubora wa Marekani dhidi ya Maadui zake wakuu.. Sasa na hii misururu ya makomandoo wanaofanya kazi moja ni kuionesha US kama moja ya taifa lililojisheheni na lenye ubora wa hali ya juu ingawa inaweza ikawa hivyo lakini sio kila mahali na sio kila wakati.
 
Army Ranger wapo kwenye US Army tu.. Sisi huku tunaita Land Forces.
Navy SEAL ni Special Naval Warfare Unit wanaooperate katika mazingira yote hawako chini ya Regiment yoyote wao wanaripoti Direct Pentagon chini ya Kamanda wao William Mc Raven tuseme ni kama Jeshi Maalum linalojitegemea wako 8000. Halafu kuna Delta Force wao walikuwepo kabla Navy SEAL wana Operate sana katika Civilian Life lakini hawana tofauti na Navy Seal wao sio paratroopers wana mode ya Infrantry na Amphibian ingawa behind haya yote kuna jambo inabidi ufaham.
With GDP ya dola trillion 16 na Budget ya dola trillion 3 US wana excess ya dola trillion 13 ambayo inabidi waitumie kulinda na kutengeneza mapana ya maslahi yao duniani through
1. Political Influence
2. Military Influence
3. Propaganda..
Huo utitiri wa Makomandoo ni Propaganda na nikuambie tu zaman Pentagon walikua na kitengo cha propaganda against East ( Soviet & Communist Block ) ambacho kilikua kinagharamia filamu zinazoponda East mfano filamu za kuna Rambo mara yupo Vietnam mara anawaua warusi zile zilikua zinagharamiwa na Pentagon kama moja wapo ya propaganda za kuutangaza ubora wa Marekani dhidi ya Maadui zake wakuu.. Sasa na hii misururu ya makomandoo wanaofanya kazi moja ni kuionesha US kama moja ya taifa lililojisheheni na lenye ubora wa hali ya juu ingawa inaweza ikawa hivyo lakini sio kila mahali na sio kila wakati.

Daah kuna watu mko deep kwenye mambo ya nje, Binafsi ukiniuliza kati ya mgambo wa jiji na hawa mgambo wa magwanda yanayofanana na ya JKT tofauti zao ata sijui, nitakuambia mgambo wa jiji ni wababe zaidi kwa kuwa ni wataalamu wa kubeba masufuria ya mama ntilie wanaouza chakula sehemu kandoro alizokataza!
 
Wale jamaa wa lone survivor ni navy seal, walikua hatari sana ila muziki wa taliban waliujua!

Kwa kifupi wote binadamu, ukiwa ambush wanawekwa kati kama kamanda wengine. Kitu pekee nachowakubali US ni ndege zao za kivita ni HATARI.
 
Tafuta Hizi movies
  • Lone survivor
  • Act of Velor
  • Captain Phillips

hzo movie zote nimeziangalia mkuu,sababu kuu ilinifanya niingie mitandaoni na kuanza kuperuzi kuhusu hizi special forces ni baada ya kuangalia movie ya Lone survivor,bado sijapata jibu kabisa,may be you can help me
 
Wale jamaa wa lone survivor ni navy seal, walikua hatari sana ila muziki wa taliban waliujua!

Navy Seal ni wazuri lakin wako over facilitated watu wanapandishwa ndege wanashushwa in the middle of deep sea kwenye Manowari inawachukua mpka kwenye Nyambizi wanaingia wanapelekwa mpka ufukweni wanaachwa wanaenda kumuua msomali mmoja tu wakimaliza wanatoroka na speed boat halafu helcopter inawakuta njiani inawanyanyua mpka kwenye manowari hii tunaita over facilitated halafu vyombo vyao vya magharibi vinawapa promo mno ile too much jus tu kuifanya US ionekane Super power ulimwenguni
 
Army Ranger wapo kwenye US Army tu.. Sisi huku tunaita Land Forces.
Navy SEAL ni Special Naval Warfare Unit wanaooperate katika mazingira yote hawako chini ya Regiment yoyote wao wanaripoti Direct Pentagon chini ya Kamanda wao William Mc Raven tuseme ni kama Jeshi Maalum linalojitegemea wako 8000. Halafu kuna Delta Force wao walikuwepo kabla Navy SEAL wana Operate sana katika Civilian Life lakini hawana tofauti na Navy Seal wao sio paratroopers wana mode ya Infrantry na Amphibian ingawa behind haya yote kuna jambo inabidi ufaham.
With GDP ya dola trillion 16 na Budget ya dola trillion 3 US wana excess ya dola trillion 13 ambayo inabidi waitumie kulinda na kutengeneza mapana ya maslahi yao duniani through
1. Political Influence
2. Military Influence
3. Propaganda..
Huo utitiri wa Makomandoo ni Propaganda na nikuambie tu zaman Pentagon walikua na kitengo cha propaganda against East ( Soviet & Communist Block ) ambacho kilikua kinagharamia filamu zinazoponda East mfano filamu za kuna Rambo mara yupo Vietnam mara anawaua warusi zile zilikua zinagharamiwa na Pentagon kama moja wapo ya propaganda za kuutangaza ubora wa Marekani dhidi ya Maadui zake wakuu.. Sasa na hii misururu ya makomandoo wanaofanya kazi moja ni kuionesha US kama moja ya taifa lililojisheheni na lenye ubora wa hali ya juu ingawa inaweza ikawa hivyo lakini sio kila mahali na sio kila wakati.

mkuu Mossad unaposema Army rangers wapo in the US amy only ni kama umeniacha kidogo kwasababu ukisoma kwenye wikipedia inaonyesha hata hao SEAL ni special force ndani ya US Army,pia ukisoma Maelezo kuhusu US army Rangers inaonyesha wanaweza kupigana katika mazingira yoyote yale iwe angani,majini na nchi kavu kama SEAL and they say US army Rangers ndio best trained force in the world kumaanisha wanawazidi hata SEAL,

kama wanaweza kupigana katika mazingira yoyote then kwanini mkuu Mossa uwakategorize hwa Army Rangers as Infantry(askari wa miguu)?.
 
Navy Seal ni wazuri lakin wako over facilitated watu wanapandishwa ndege wanashushwa in the middle of deep sea kwenye Manowari inawachukua mpka kwenye Nyambizi wanaingia wanapelekwa mpka ufukweni wanaachwa wanaenda kumuua msomali mmoja tu wakimaliza wanatoroka na speed boat halafu helcopter inawakuta njiani inawanyanyua mpka kwenye manowari hii tunaita over facilitated halafu vyombo vyao vya magharibi vinawapa promo mno ile too much jus tu kuifanya US ionekane Super power ulimwenguni

wako vizuri,ila kuna kitu ambacho huwa nafikiri pia kuwa wenzetu pia wanamapungufu,ilikuwaje intelijensia ikashindwa kufanya kazi mpaka ikapelekea elite soldiers wake wakauawa in Kunar province Afghanistan in The Operation Red Wing baada ya kufanyiwa ambush na wanamgambo wa Taliban.

Kiufupo kwangu mimi naona ambush ile ilitokana na failure ya intelijensia kutoka data zilizo acurate.
 
Army Ranger wapo kwenye US Army tu.. Sisi huku tunaita Land Forces.
Navy SEAL ni Special Naval Warfare Unit wanaooperate katika mazingira yote hawako chini ya Regiment yoyote wao wanaripoti Direct Pentagon chini ya Kamanda wao William Mc Raven tuseme ni kama Jeshi Maalum linalojitegemea wako 8000. Halafu kuna Delta Force wao walikuwepo kabla Navy SEAL wana Operate sana katika Civilian Life lakini hawana tofauti na Navy Seal wao sio paratroopers wana mode ya Infrantry na Amphibian ingawa behind haya yote kuna jambo inabidi ufaham.
With GDP ya dola trillion 16 na Budget ya dola trillion 3 US wana excess ya dola trillion 13 ambayo inabidi waitumie kulinda na kutengeneza mapana ya maslahi yao duniani through
1. Political Influence
2. Military Influence
3. Propaganda..
Huo utitiri wa Makomandoo ni Propaganda na nikuambie tu zaman Pentagon walikua na kitengo cha propaganda against East ( Soviet & Communist Block ) ambacho kilikua kinagharamia filamu zinazoponda East mfano filamu za kuna Rambo mara yupo Vietnam mara anawaua warusi zile zilikua zinagharamiwa na Pentagon kama moja wapo ya propaganda za kuutangaza ubora wa Marekani dhidi ya Maadui zake wakuu.. Sasa na hii misururu ya makomandoo wanaofanya kazi moja ni kuionesha US kama moja ya taifa lililojisheheni na lenye ubora wa hali ya juu ingawa inaweza ikawa hivyo lakini sio kila mahali na sio kila wakati.

Mkuu hebu tiririka bana...Nahisi unafahamu vitu vingi...
 
mkuu Mossad unaposema Army rangers wapo in the US amy only ni kama umeniacha kidogo kwasababu ukisoma kwenye wikipedia inaonyesha hata hao SEAL ni special force ndani ya US Army,pia ukisoma Maelezo kuhusu US army Rangers inaonyesha wanaweza kupigana katika mazingira yoyote yale iwe angani,majini na nchi kavu kama SEAL and they say US army Rangers ndio best trained force in the world kumaanisha wanawazidi hata SEAL,

kama wanaweza kupigana katika mazingira yoyote then kwanini mkuu Mossa uwakategorize hwa Army Rangers as Infantry(askari wa miguu)?.

Nakapanya.. US ina majeshi yafuatayo
1. Army (infantry)
2. Air Force
3. Navy
4. Marines
5. Coast Guard
Halafu wana Reserve ya majeshi yote.
Ukisema SEALs ni army na mimi ntakuuliza mbona wanaitwa NAVY SEALs..?? Cha kujua hapa ni kua kuna mfumo mpya ndani ya Jeshi la Marekani unaitwa JSOC (Joint Special Operation Command) labda nikikuelezea huu ni mfumo unahusisha Combination ya idara na majeshi mbalimbali ndani ya pentagon na Taasisi nyngne za Usalama kafika kufanikisha malengo ya Ulinzi. mfano Opetation Neptune Spear ya kumkamata Osama basically ilukua Operation ya CIA lakini ilifanywa na SEALs Team 6 chini ya mfumo huu wa JSOC ambao uko ki coordination zaidi.
Sasa nikirudi kwenye query yako.. Mfano Marine wao ni infantry lakini wako chini ya Navy Command au niseme ni kikosi cha ardini cha wanamaji. Sasa SEALs ndo wana operate ndani ya JSOC hawako katika jeshi maalum na William Mc Raven mkuu wa SEALs anaripoti moja kwa moja kwa Chief of Joint Staff Five Star General wa Pentagon wala haripoti kwa mkuu wa US Army wala sio Airforce wala sio Navy na wengneo ila kwa tamaduni za kijeshi Infantry ndio kikosi Mama na askari woooooteee lazima wapewe mafunzo basic ya infantry (Cadet Course) uwe Airforce, uwe Navy, uwe Cyber army uwe mpishi uwe brass band uwe yeyote yule mafunzo basic ya infanrty lazima upitie lakini ili uwe Infantry sio lazima upewe mafunzo ya Navy, Airforce na wengneo hapa ni kukujibu tu kwanini unaona SEALs wanakua categorised kama branch ya US Army (infantry) ni kwasababu tajwa hapo juu. Kiutendaji SEALs sio US army na mkuu wao haripoti huko.
Tuje kwa Rangers.. Kutokana na bajeti kubwa na Technology advancement it is waste of resources kua na Special trained personel wanao perform only single task ndio maana Rangers wakawa multi tasked lakini basically nilikua najibu swali la mtu aliyetaka kujua tofauti ya hawa wawili.. na ikifika hapo basically Rangers uwa ni infantry tu na Rangers unaweza sema ni Special Branch ya Marines ukifuatilia Historia hawa walihusika sana na ile famous invasion ya "Normandy" kule France sasa role yao kubwa ni hiyo infantria men ila wenzetu wana pesa nyingi nitakupa tu mfano ukienda US Army ingawa ni Jeshi la Ardhini lakini wana Ndege zao wenyewe sasa utajiuliza how comes wakati tayari kuna Air force..?? Jibu ni kua too much money what should they do..?? Ukienda Marines wapo chini ya Navy lakini wana branch ya Air Force na ndege zao wenyewe lakini hao Navy pia wana Branch yao ya Air Force halafu bado kuna Jeshi la Air Force pia so kwetu maskini its a bit comlicated lakini kwao sio complicated hata..
Nimalizie tu hicho kipengele cha best trained.. information za wikipedia sio kila kitu ni as accurate as u read nikwambie tu hata ww unaweza weka taarifa wikipedia na dunia ikasoma so u need to have inside information kuchanganua mambo.. US watakwambia kila Jeshi lao ni best trained than the other mwisho wa siku unafkiri jeshi lipi ndo litakua best than the other.. ni ile ile hadithi ya kila baba atakwambia alikua wa kwanza darasani sasa nani alikua anakua wa mwisho.. (propaganda tu) ... za kuambiwa changanya na zako.
 
Nakapanya.. US ina majeshi yafuatayo
1. Army (infantry)
2. Air Force
3. Navy
4. Marines
5. Coast Guard
Halafu wana Reserve ya majeshi yote.
Ukisema SEALs ni army na mimi ntakuuliza mbona wanaitwa NAVY SEALs..?? Cha kujua hapa ni kua kuna mfumo mpya ndani ya Jeshi la Marekani unaitwa JSOC (Joint Special Operation Command) labda nikikuelezea huu ni mfumo unahusisha Combination ya idara na majeshi mbalimbali ndani ya pentagon na Taasisi nyngne za Usalama kafika kufanikisha malengo ya Ulinzi. mfano Opetation Neptune Spear ya kumkamata Osama basically ilukua Operation ya CIA lakini ilifanywa na SEALs Team 6 chini ya mfumo huu wa JSOC ambao uko ki coordination zaidi.
Sasa nikirudi kwenye query yako.. Mfano Marine wao ni infantry lakini wako chini ya Navy Command au niseme ni kikosi cha ardini cha wanamaji. Sasa SEALs ndo wana operate ndani ya JSOC hawako katika jeshi maalum na William Mc Raven mkuu wa SEALs anaripoti moja kwa moja kwa Chief of Joint Staff Five Star General wa Pentagon wala haripoti kwa mkuu wa US Army wala sio Airforce wala sio Navy na wengneo ila kwa tamaduni za kijeshi Infantry ndio kikosi Mama na askari woooooteee lazima wapewe mafunzo basic ya infantry (Cadet Course) uwe Airforce, uwe Navy, uwe Cyber army uwe mpishi uwe brass band uwe yeyote yule mafunzo basic ya infanrty lazima upitie lakini ili uwe Infantry sio lazima upewe mafunzo ya Navy, Airforce na wengneo hapa ni kukujibu tu kwanini unaona SEALs wanakua categorised kama branch ya US Army (infantry) ni kwasababu tajwa hapo juu. Kiutendaji SEALs sio US army na mkuu wao haripoti huko.
Tuje kwa Rangers.. Kutokana na bajeti kubwa na Technology advancement it is waste of resources kua na Special trained personel wanao perform only single task ndio maana Rangers wakawa multi tasked lakini basically nilikua najibu swali la mtu aliyetaka kujua tofauti ya hawa wawili.. na ikifika hapo basically Rangers uwa ni infantry tu na Rangers unaweza sema ni Special Branch ya Marines ukifuatilia Historia hawa walihusika sana na ile famous invasion ya "Normandy" kule France sasa role yao kubwa ni hiyo infantria men ila wenzetu wana pesa nyingi nitakupa tu mfano ukienda US Army ingawa ni Jeshi la Ardhini lakini wana Ndege zao wenyewe sasa utajiuliza how comes wakati tayari kuna Air force..?? Jibu ni kua too much money what should they do..?? Ukienda Marines wapo chini ya Navy lakini wana branch ya Air Force na ndege zao wenyewe lakini hao Navy pia wana Branch yao ya Air Force halafu bado kuna Jeshi la Air Force pia so kwetu maskini its a bit comlicated lakini kwao sio complicated hata..
Nimalizie tu hicho kipengele cha best trained.. information za wikipedia sio kila kitu ni as accurate as u read nikwambie tu hata ww unaweza weka taarifa wikipedia na dunia ikasoma so u need to have inside information kuchanganua mambo.. US watakwambia kila Jeshi lao ni best trained than the other mwisho wa siku unafkiri jeshi lipi ndo litakua best than the other.. ni ile ile hadithi ya kila baba atakwambia alikua wa kwanza darasani sasa nani alikua anakua wa mwisho.. (propaganda tu) ... za kuambiwa changanya na zako.

Nikupe tu ufaham zaidi kwanini unaona Rangers wanapewa majukumu zaidi ya infantry ambayo ndiyo basic role yao.. Hapa Tanzania hatunaga standby Reserve army kama kwa baadhi ya majeshi ya wenzetu sisi Reserve yetu ni hawa unaowaona Polisi, Magereza, Mgambo, JKT, na Uhamiaji ingawa hiyo ya mwisho not often included.. Sasa role kuu ya magereza sio vita wao main role yao kudeal na wafungwa na magereza ya nchi ila kwenye kipindi cha vita magereza wote ni frontiers wanasonga usiku na mchana sasa hapa ingekuwa wenzetu huko wikipedia ungeakia wanakwambia "Magereza are also well trained to fight as Infantriers and well equiped for Full scale War.. ndicho unachosoma kuhusu Rangers. Kingne nachojua kuhusu Rangers ni kua wao ni Airborne wanaruka na mwavuli hewani bila shida hawa kama ni kuwafananisha basi replica yao ni French Foreign Legion 2nd Rep paratroopers kikosi maalum cha elite soldiers ndani ya French Foreign Legion.. una chochote niulize tu..!!!!
 
Aisee!!
Taarifa zinazohusu majeshi zinaonekana tamu kweli.
Ni kama vile Tz iwe na majeshi ya aina hiyo lakini bajeti yetu ni ndogo mno.
 
Wadau inaonekana mnafurahia tuu nondo za mkuu mosad007, ila hamumpi hata motisha kidogo. Ingekuwa darasani tungempigia makofi, ila kwa hapa mtupieni hata like mojamoja jamani..!
 
Back
Top Bottom