Utofauti mkubwa wa umri na dini

Utofauti mkubwa wa umri na dini

Humble be

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2015
Posts
3,104
Reaction score
5,053
Happy new year 2026 MMU.

Kuna binti wa ki-islamu nimefikiria nianze kufanya mchakato wa kufikisha taarifa kwa wazazi wake kuhusu nia ya kutaka kumuoa binti yao. Hii ni baada ya penzi la mtu wangu wa muda mrefu kufa kabisa.

kabla sijaamua kufikisha taarifa kwa wazazi wa huyu binti wa ki-islamu, kuhusu nia yangu ya kutaka kumuoa binti yao, nataka kujua changamoto au inaathari zipi ndoani baadae kwa haya mambo mawili.

1. kuoana ndoa ya mkristo na muislamu (binti ni muislam ila hawajashika dini sana, mimi ni mkristu nilielelewa na kukulia malezi ya dini)

2. kufanya ndoa na binti uliemzidi miaka 10+ (binti ana miaka 19).

Wenye uzoefu na izo hali za ndoa leteni madini.
 
Changamoto na athari ni zile zile tu, kama za mliyeachana
Hapana haiwezi kuwa ivyoo. Panatofauti kubwa sana, athari zangu hapa nimelenga kwenye tofauti kubwa ya umri na dini tu, ndio wazoefu na hali hizo walete madini
 
Kama hujui changamoto za unachoenda kukabiliana nacho hiyo ni changamoto ya kwanza.

Hata kama ukiambiwa hutaweza kuvuka hiyo changamoto na utaishia kuishi maisha ya changamoto!


Jitibu ugonjwa wa kung'ambua changamoto
 
Kama hujui changamoto za unachoenda kukabiliana nacho hiyo ni changamoto ya kwanza.

Hata kama ukiambiwa hutaweza kuvuka hiyo changamoto na utaishia kuishi maisha ya changamoto!


Jitibu ugonjwa wa kung'ambua changamoto
Huwezi kuwa unajua kila kitu na tunajua kwa kujifunza kwa njia mbalimbali. Humu naamini kuna wazoefu, na wajuzi wa izo hali mbili nilizozieleza hapo juu, kwenye uzi wangu.

Ndio maana nimetaka kupata mawili matatu kuongeza kitu toka hasa kwa wazoefu wa izo hali kabla ya kufanya maamuzi.
 
Nenda kapeleke kwao barua, ndani ya barua usisahau kutiamo misimbazi mitano pia weka na kitambaa cheupe. Waislamu hawana mambo mengi hasa kama upo serious kweli kuoa, watakujibu barua yako! Lakini mali watakayokutajia we lipia yote wala usilie shida lipa yote bakiza kama elfu 50 tu si unajua mali huwa haimalizwi yote hiyo 50k utamlipaga mke wako kipindi mnaendelea na maisha. (Wanajua kuwa wakristu mna maisha ivo hawakawii kukupa mtoto wao).. Kila la kheri mkuu umefanya maamuzi bora saana…. Chief mtoto wa miaka 19 na umemzidi miaka 10+ huyo ndiye mke sahihi
 
Hapo hakuna athari labda mziunde nyie. Hapo umepata chombo kibichi mzee baba utafarijika kisaikolojia kwa hiyo range ya miaka. We ni mkristo wa dhehebu gani? Kama ni mkatoliki haina shida, kama ni mpentekoste sharti huyo binti atubishwe awe mpentekoste kwelikweli tena ajazwe roho mtakatifu na abatizwe ubatizo wa maji mengi ndio umuoe. Ukatolikini wanakubali ndoa mseto wa dini utaifungia kanisani huku mkeo akiendelea na uislam wake ila watoto watakuwa ni wakatoliki, nadhani umenipata, uliza tena ujibiwe
 
-Dini yao hao watu wa mudy inasema kuwa mwanamke hana dini
-umri si tatzo, tena ni tofauti nzuri sana

1. Nimefurahi kuwb unaanzia kwa wazazi, hlo ni jambo jema: swali langu UMEISHACHUNGUZA HYO FAMILIA? INA MALEZI MEMA? USIJE LETA LAANA LANGONI KWAKO

2. Washirikishe wazazi wako hili jambo (kama hawapo, angalia nduguzo zako wenye heshima ya kuwa wazazi; tahadhari usipeleke viongozi wa dini kwenye mambo yako ya ndoa, labda wawe viongozi wa kiroho (hapa hautanielewa)

3. OA KIJANA, ACHANA NA KUNDI LA LAANA LILILOKATAA KUOA USIJEKUTA UNAISHI KWA NYETO.
 
Hapo hakuna athari labda mziunde nyie. Hapo umepata chombo kibichi mzee baba utafarijika kisaikolojia kwa hiyo range ya miaka. We ni mkristo wa dhehebu gani? Kama ni mkatoliki haina shida, kama ni mpentekoste sharti huyo binti atubishwe awe mpentekoste kwelikweli tena ajazwe roho mtakatifu na abatizwe ubatizo wa maji mengi ndio umuoe. Ukatolikini wanakubali ndoa mseto wa dini utaifungia kanisani huku mkeo akiendelea na uislam wake ila watoto watakuwa ni wakatoliki, nadhani umenipata, uliza tena ujibiwe
Nimekupata uzuri sana mkuu
Mimi ni mkatoliki.
 
-Dini yao hao watu wa mudy inasema kuwa mwanamke hana dini
-umri si tatzo, tena ni tofauti nzuri sana

1. Nimefurahi kuwb unaanzia kwa wazazi, hlo ni jambo jema: swali langu UMEISHACHUNGUZA HYO FAMILIA? INA MALEZI MEMA? USIJE LETA LAANA LANGONI KWAKO

2. Washirikishe wazazi wako hili jambo (kama hawapo, angalia nduguzo zako wenye heshima ya kuwa wazazi; tahadhari usipeleke viongozi wa dini kwenye mambo yako ya ndoa, labda wawe viongozi wa kiroho (hapa hautanielewa)

3. OA KIJANA, ACHANA NA KUNDI LA LAANA LILILOKATAA KUOA USIJEKUTA UNAISHI KWA NYETO.
Ndio nimechunguza kiasi tuu mkuu, sababu ni majirani kiasi chake nawaona. Japo binafsi siamini katika laana, naamini katika malezi sio laana.
 
Kama umemfatilia tabia zake na una dondoo za past yake oa mkuu. Miaka 19-22 ndio umri ambao mwanamke anakua na upendo halisi.

Hawa wa kuanzia miaka 23 tayari kuna wahuni washaacha alama akilini mwao. Ukijichanganya kuoa you will forever be in competition with ghosts.
Ndio nimechunguza kiasi tuu mkuu, sababu ni majirani kiasi chake nawaona na kupata habari zao.
 
Back
Top Bottom