Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,515
Mlipata malezi mabaya sana yasiyo ya kistaarabu. Ni ukosefu wa malezi mema. Mimi siwezi hata kukaa na boxer na wenzangu. Usiku nalala nimevaa boxer siwezi lala uchi. Ila nikiwa peke yangu mchana naweza kaa uchi nikitembea tembea ndani peke yangu.Sisi wakati tunasoma shule za msingi na sekondari mbona tulikuwa tunaogelea uchi mtoni.
Alafu hata home bro alikuwa na tabia ya kukaa uchi tukiwa room. Imagine mda wa msosi tukiitwa anatoka na boxer tu kifua wazi anakaa mezani.
Maza alikuwa anamwangaliaga tu hasemi kitu. Wamama wana huruma sana. Mzee akiwepo lazima bro avae jeans.