Maduka yote yanaozunguka uwanja wa Sh. Amri Abeid yamefunguliwa kusachiwa na mbwa halafu yatafungwa.
Hivyo hakuna biashara leo na kesho kupisha utoaji wa nishani kwa wajeda.
Sasa sijajua watafidiwaje hao watu na Serikali maana wengi wao wana marejesho ya kibenki.
Hivyo hakuna biashara leo na kesho kupisha utoaji wa nishani kwa wajeda.
Sasa sijajua watafidiwaje hao watu na Serikali maana wengi wao wana marejesho ya kibenki.