100 % confession toka kwa JUliana Shonza kwamba ulikuwa injinia wa usaliti kwa libwata la Zitto
Nyie watoto you too predictable yaani katika chama chenu cha wasaliti wote mumekuja na single ya kumuattack DR Slaa ndio maelekezo ya role model wenu mutengeneza matunguli na muua panya Zitto na vijeba vyake akina Mwigulu
Munatufikirisha kwamba tuanze kujiuliza uwezo wa wana vyuo wanaomaliza degree wanauwezo gani wa kumpambanua mambo embu Juliana GPA yako ni ngapi vile
Mwanamke umejivua nguo huna pa kutokea msaliti mumeipata itelijensia ya chama chenu madhubuti wame wa wahi kidogo
Tunataka majibu ya thread ya Ben saa nane wewe hukuchanjwa dawa kulinda maslahi ya Zitto mmh tuambie wana JF
Film part 4 hiyo imenoga kweli
Nyie watoto you too predictable yaani katika chama chenu cha wasaliti wote mumekuja na single ya kumuattack DR Slaa ndio maelekezo ya role model wenu mutengeneza matunguli na muua panya Zitto na vijeba vyake akina Mwigulu
Munatufikirisha kwamba tuanze kujiuliza uwezo wa wana vyuo wanaomaliza degree wanauwezo gani wa kumpambanua mambo embu Juliana GPA yako ni ngapi vile
Mwanamke umejivua nguo huna pa kutokea msaliti mumeipata itelijensia ya chama chenu madhubuti wame wa wahi kidogo
Tunataka majibu ya thread ya Ben saa nane wewe hukuchanjwa dawa kulinda maslahi ya Zitto mmh tuambie wana JF
Film part 4 hiyo imenoga kweli