kila mtu namjibu kulingana na jinsia yake.
nyie ndo waleta sumu wenyewe nyie, na mkae mkijua hatutakaa kimya tena ashukuru sana nimempa angalizo hilo kwani haya yanajulikana yapo ila huyu anaonekana bado kabisa kuujua upande wa pili wa shlingi.
kujisaidia usahihi wake nini?Kwani kusema kiwete na mlemavu wa miguu tofauti nini, ni unafiki tuu ndio shida hapa.Kukojoa ni kujisaidia?Kukojoa ni kuanya kitu kilicho ktk uwezo wa mwili na hakuna msaada kwa mtu wala mwili wake.Nani kaita hawara mke?Nimetaja hawara wapi? kwa taarifa yako kiswahili nakijua sana, ila i dont care that much,siandiki thesis hapa.
sasa kama Mungu atamhukumu nini tena kinakuwasha?Tangu mwanzo nilikuambia kuwa wewe ni mmbea tuu huna dili ukazidi refusha ubish hapa.Sasa kila mtu naona unapohamia