Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,930
- 4,407
Kwani Masauni na Sadifa walipoukwaa uchairman wa UVCCM walikuwa na umri gani?!!!!!!
But huu ni udhaifu mkubwa sana kwa Sekretariate ya CCM waliojinasibu kuwa wamefanya kazi kubwa na imara...Kwani Masauni na Sadifa walipoukwaa uchairman wa UVCCM walikuwa na umri gani?!!!!!!
Haha kauli ya mkulu hiyoHiwezi kuwa na impact yoyote hata ikithibitika. Kama mtu anamiliki kitambulisho cha TISS kinyume cha sheria bila kesi sembuse hii! Kwanza kinachoangaliwa ni uchapa kazi vyeti makaratasi tu.
Unamaanisha nn'Huu sio ushahidi, hii ni taarifa'
Alidanganya sasa hivi anamiaka 29, kwa mantiki alighushi cheti bandiaYeye amefoji vipi sasa? Halafu, UVCCM ndiyo nini?!?
SijuiUnamaanisha nn