Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,148
- 7,002
Usanii wa aina hii upo sana..Maana uliyoandika yoote hayana mana yeyote Waziri wa Ulinzi kuwa Mwanamke haiongezi chochote na katika nchi hii wako watu mil 60 basi tu waliokuwa hapo wanajuana na wakubwa ndio mana mnaona shida kupata Waziri.
LAKINI wapo Marais na Mawaziri wazuri sana ila mifumo mibaya haiwapi nafasi.
LAKINI wapo Marais na Mawaziri wazuri sana ila mifumo mibaya haiwapi nafasi.