Bambo
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 238
- 50
Bambo Kijiba cha roho mbaya kitamuumiza sana!
haya ndugu yangu tumalize kwa kuwatakia kila la heri mungu awatangulie katika majukumu yao kilichonifurahisha ni kusikia huyo mmoja ameweza hata kudesign tractor ya kutumia mikono!!!katika maeneo ambayo wasomi wetu wameshindwa ni innovations naona huyo amecheleweshwa kupewa hiyo platform.