Uteuzi wa Job Masima kuwa Balozi Israel ni ishara ya Rais Magufuli kuinoa na kuiimarisha TISS

nasikia Israel ni wazuri ktk inteligensia... pia nasikia wana njia 100 za kuua mtu...mwee inaonekana ni hatari sana hawa.
 
TISS itaimarika kwa kuwa chombo huru...na siyo kuwa chini ya ofisi ya rais...kwa kuondoka kwenye majukumu ya ushauri tu, kwenda kwenye majukumu ya kutekeleza...
hivi wakati wa nyerere hii tasisi ilikuwa huru au chini ya nani.. na je utendaji wake ulikuwaje
 

Waanze na mradi wa NIDA... waje kwenye umwagiliaji...... halafu waje kwenye elimu kwa kuanzia na kutufundisha Kiyahudi!

Yani unaandika kabisa a timescaled developmental blueprint based on kuomba omba na kupewa msaada

Wewe unawapa nini?

Hahahahahahahaaaa

Israeli haiwezi kuwa rafiki wa Tanzania kupita Scandinavians walivyokuwa wakati ule wana bankroll uchumi wa Nyerere. Na bado misaada haikututoa, haikutusaidia.

Israeli sio malaika wa bwana wala watakatifu watoa misaada bure. Unless you are a purist evangelical who believes that the Bible narrative is literally true. If you believe that the Holy Bible is literally true then Israel is a country of milk and honey, with plenty to hand out for free. Of course.
 

Umeandika vizuri mwishoni umeharibu kuhusu ukweli wa biblia! Kuamini biblia kuwa ni maandiko ya kweli haimaanishi unaamini israel ni taifa la maziwa na asali! Hapo kuna siasa na dini
 
hivi wakati wa nyerere hii tasisi ilikuwa huru au chini ya nani.. na je utendaji wake ulikuwaje
TISS haijawahi kuwa huru...Nyerere was exceptional leader, one in a million! Hatuwezi kutumia experiences zake ku-justify mfumo wa TISS, haswa kipindi hiki ambacho psychopath na sadist anaongoza nchi.

...BTW, hata kipindi cha Nyerere TISS ilitumia mfumo wa socialist intelligence, ambapo ufuatiliaji wa nini wananchi wanasema, wanawaza na wanapanga ulipewa kipaumbele! Hivi sasa tunapaswa kuwa na TISS inayoendekeza economic intelligence na yenye kuweza kutekeleza yale wanayoyagundua.
 
Haha ulifanikiwa au? Maana majuzi kuna mdogo wangu sijui alizipata stori kijiwe gani, akaniambia dada nataka niende kwa mkuu wa wilaya, nikamuuliza kufanyeje akanijibu kuulizia nafasi ya mafunzo ya "kitengo" nikamjibu usithubutu!
 
Haha ulifanikiwa au? Maana majuzi kuna mdogo wangu sijui alizipata stori kijiwe gani, akaniambia dada nataka niende kwa mkuu wa wilaya, nikamuuliza kufanyeje akanijibu kuulizia nafasi ya mafunzo ya "kitengo" nikamjibu usithubutu!

Mwambie tena asithubutu labda miaka hii kwa kua sio watata sana,mimi nilienda huo mkoa maana bi mkubwa alihamia kikazi na vile nimemaliza kidato cha 6 nikaenda kumpa kampani mother ila nilitoka nduki kurudi Dar bila kupenda maana walikua wanamuibukia bi mkubwa mara lundo pale job mpaka akawa ananiuliza wale rafiki zako watu wazima umewajulia wapi alafu kuna bar fulani ya RTC huo mkoa nilikua kila nikienda nao wapo nikaona nitakuja kutoswa baharini na jiwe la 100KG
nawaheshimu sana wajomba wanaijua kazi yao.
 
Hahahahha! Pole mkuu.
 

Chief, naona umesindwa kabisa kuchuja maneno.

Taratibu mkuu.
 
Haha ulifanikiwa au? Maana majuzi kuna mdogo wangu sijui alizipata stori kijiwe gani, akaniambia dada nataka niende kwa mkuu wa wilaya, nikamuuliza kufanyeje akanijibu kuulizia nafasi ya mafunzo ya "kitengo" nikamjibu usithubutu!

Ulifanya vibaya.

Angepokelewa vizuri tu aelekezwe,kipi ni kipi.

Watu tuliishaibuka ofisi zao dsm, hapo jirani na jengo refu kuliko ikulu,kufika hapo tukauliza yaliyotusibu tukaelekezwa.tukajuzwa mengi mwishowe tukajua kuwa kumbe tunachokitaka kitambulisho tu, maana kama ni kazi tunaweza kufanya tu.
 
Hahha duh!
 
M15.....??!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…