Uteuzi wa Job Masima kuwa Balozi Israel ni ishara ya Rais Magufuli kuinoa na kuiimarisha TISS

Still yoote uliyoyaandika warussi,wajapani,wachina na wengine weengi wanafanya mzee! Sijajua kwann israel? What so special sisi kupeleka kule ubalozi? Nimekwambia hasara ni kubwa kuwa na mahusiano na israeli kuliko faida fuatilia mataifa yoote yaliyo karibu na israel wanashida na vikundi vya kigaidi nothing is special kuwa na ubalozi kule!,technology ya kubadilisha maji ya bahari "water desalination " watu wengi wanafanya hakuna uspeciality hapo watu wanadhan israel ni so special nation wakati sio

Lakini, hakuna ambae mpaka dakika hii twaandika haya, ambae amesema Israel ni nchi "so special".

Naomba tutajie hasara ambayo Tanzania itapata kwa kufungua ofisi ya ubalozi mjini Tel Aviv.

Be honest, funguka.
 
Lakini, hakuna ambae mpaka dakika hii twaandika haya, ambae amesema Israel ni nchi "so special".

Naomba tutajie hasara ambayo Tanzania itapata kwa kufungua ofisi ya ubalozi mjini Tel Aviv.

Be honest, funguka.
Tanzania kwa miaka mingi tumenufaika kuwa neutral country hii ilikuwa sera ya Nyerere kuna wakati tunakuwepo kwa wamarekani kunawakati tupo kwa wachina na warusi,na katika migogoro ya middle east kwa miaka mingi Tanzania ilikuwepo upande wa mataifa ya kiaarabu kupinga uonevu wa israeli kwa mataifa mengine pale mashariki ya kati kwa dhana hiyo hatujawahi pata mashambulizi ya kigaidi mengi yakutishia (ukiacha kupigwa bomu ubalozi wa marekani) kiasi cha kutishia amani na usalama wa nchi yetu kama wenzetu Kenya wanavyopata karibia kila mwaka sababu ya msimamo wao kwa waisraeli na marekani! vyombo vyetu vya usalama vina loopholes nyingi sana kiasikwamba tukiingia kwenye radar za vikundi vya kiislam vyenye msimamo mkali kama Al Qaeda,wapiganaji wa kisomali na ISIS kutokana na uhusiano na ushirikiano wetu na Israel tutapata taabu sana na usalama wetu utakuwa shakani ndiomaana nikasema "hasara ni kubwa kuliko faida"
 
Makala ndefu ila hukuweka ataisadiaje na utayari wa israel katika hilo.
Mimi nadhani njia nzuri ni kuweka bajeti ya kuwapeleka vijana kusoma nchi mbali mbali kutokana na hitajio.
Huwezi ukautoa usalama wa nchi kwa taifa moja na kusaidiwa...
Ukumbuke israel ni kama US haina rafiki wa kudumu wao wanaweka maslahi yao kwanza..
Na pia isreal wanatania ya kupandikizw chuki pale nchi ikiwa ina dini mbili hizi...
Ni vizuri kuwa na uhusiano ndio utandawazi lakini kama taifa uasalama wetu ni wetu wenyewe haihusu taifa jengine.
Sasa hivi hii Tiss inatakiwa iwe na vijana wabobezi wa investigation katika mamno ya uchumi , makampuniya kimataifa, mfumo wa biashars za maguta na gesi..
Yuwe na vijana ambao ukiwapa file kuhusu kampuni fulani inayo taka kuja kuwekeza wanakupa data zote mesani...
Au vijana ambao ukitaka kumchagua mtu kuwa kiongozi wanakuoa data za uhakika kuanzia kolomije mpaka moshi ushirika...
samahani mkuu... una kitamburisho cha kupigia kura... ..cha nchi hii...???
 
Ni kweli kuna nyanja mbalimbali za ushirikiano kati ya Tanzania na Israel kama nilivyooanisha hapo juu japo ni kidogo.

Lakini Israel ni watu wenye uwezo mkubwa sana katika masuala ya kiteknolojia, sayansi, kijeshi na kiusalama.

Kama unakumbuka kampuni ya Apple ilipoingia kwenye mgogoro na FBI kuhusu simu ya IPhone ya yule muuaji wa California Syed Farook kwamba isingetoa siri ya namna ya kuifungua simu hiyo kwa ajili ya uchunguzi, baadae kampuni ya Israel ndiyo ilikuja kufungua simu hiyo.

Nimeeleza kuhusu kampuni hii ya Cellebrite katika moja ya Makala zangu kwenye jukwaa hili na wanavyofanya kazi.

Kampuni ya Cellebrite ni kampuni kubwa sana ya teknolojia duniani na ina matawi sehemu kadhaa kiasi cha kufikiria kutafuta masoko Zaidi katika nchi za Afrika Tanzania ikiwa ni mojawapo.

Israel pia ni wataalam na wana teknolojia ya juu katika masuala ya "surveillance" na hivyo watapata nafasi na soko la kuuza bidhaa zao zinazohusiana na eneo hili.

Pia ukitaka kujua namna ulinzi wa viwanja vya ndege vya Israel ulivyopewa kipaumbele nchini Israel basi unapaswa kwenda Israel na ukifika nchini humo utajifunza mengi, kwani hapa sitaelezea mengi kutokana na sababu mbalimbali.

Mwisho wayahudi wana misemo miwili muhimu kabisa kuhusiana na ulinzi na usalama wa Israel, kwanza wanasema "what can I do for Israel" na mwingine wanasema "what can I do to help brothers ans sisters in Israel".

Ni lazima unaelewa njia za kuilinda nchi yako na hata unapokuwa vitani unatakiwa kukumbuka vitu vitatu, jina lako, namba inayokutambua yaani code na royalty uzalendo.

Nafikiri umenielewa ndugu.
Na macomando hao wakishajua hayo mambo ma3 inabaki motisha moja tu wawapo vtani ATTACK
 
Tanzania tayari ina mahusiano ya kibalozi na Marekani, UK, Russia, France, China, Germany na kadhalika na kadhalika.

Israel ni cha mtoto katika kila eneo ukiilinganisha na hayo ma nchi, mbona hiyo TISS ya Bongo miaka yote hiyo haijasaidiwa?

Haya ni ma imani ya the Christian right wanaoamini biblia is literally true. Kama unaamini biblia is literally true basi Israel ni nchi ya ahadi, taifa teule ambalo ndio bingwa wa kila kitu ulimwenguni.

Theological baloney. Mashudu!
cha ajabu israel hawatumii bibble wana kitabu chao cha muongozo wa ibada..."sijawahi kuelewa maana yao.."
 
Umeandika vyema sana.

Japo, nimesikitika sana kuona ama kusoma.kuwa pana mtu alikuja akapata shida ya kuingia japo JNIA yaani, sielewi kabisa sisi hapo Tanzania, unawezaje ukamuita mkufunzi toka nchi nyingine halafu ushindwe kumpokea hadi Simu ipigwe kutoka feri na chuoni?

Hii ni aibu kubwa na pia ni uratibu wa wageni wa kiwango cha zero brains kabisa.

Intelligence services, wanashindwaje kumpokea mtu kwa ajili yao?

Ni aibu kama hayo ni kweli , wanahiitaji kufanyiwa msasa.

Ila, nimuulize mwansishi wa thread hii, kwa nini wewe unaona ulinzi na usalama kwa Tanzania kushirikiana na Israel na siyo nyanja zingine za maendeleo maana naona ndiyo sekta umeipatia kipaumbele? Ni kwa nini?
Ahsante.
Nafikiri tuna uelewa mdogo kuhusiana na hicho kitengo ila wanaposema ulinzi c tu kuhusu usalama wa nchi hapana. Hicho ktengo ndo knatakiwa kilinde na kuimarisha uchumi wa nchi husika ukjaribu tazama nchi KARIBU zote zilizoendelea zna intelligence makini. Hichi ni ktengo mhimu sana kuhusu kuwatambua wawekezaj wazur na wabaya ndo ktengo knachotakiwa kuhakksha hatuibiwi dhahabu kwa kusema ni mchanga,ni ktengo ambacho knatakiwa kufanya industrial espionage nk ndicho knatakiwa kihakkshe airtanzania inastawi.
Ktengo hiki ndo knatakiwa ki analyse kulingana na geografia ya nchi yetu tufanye uwekezaji upi kutoka Israel nk nk
Kwa ufupi ktk soma soma zangu humu jukwaan na nje ya jukwaa uimara wa kitengo hiki ni ustawi wa uchumi, ulinz na usalama wa nchi husika.
 
Naona kama imani yako ni mlengo wa kigaidi.acha kudharau imani za watu we mzee wa kitabu
naona uvumilivu wa matumizi ya busara ktk kumuelewesha msiefanana kifikra unamalizika mkuu..!!..come down..zingatia .."akili ni nywele kila mtu ana zake.."....
 
Makala ndefu ila hukuweka ataisadiaje na utayari wa israel katika hilo.
Mimi nadhani njia nzuri ni kuweka bajeti ya kuwapeleka vijana kusoma nchi mbali mbali kutokana na hitajio.
Huwezi ukautoa usalama wa nchi kwa taifa moja na kusaidiwa...
Ukumbuke israel ni kama US haina rafiki wa kudumu wao wanaweka maslahi yao kwanza..
Na pia isreal wanatania ya kupandikizw chuki pale nchi ikiwa ina dini mbili hizi...
Ni vizuri kuwa na uhusiano ndio utandawazi lakini kama taifa uasalama wetu ni wetu wenyewe haihusu taifa jengine.
Sasa hivi hii Tiss inatakiwa iwe na vijana wabobezi wa investigation katika mamno ya uchumi , makampuniya kimataifa, mfumo wa biashars za maguta na gesi..
Yuwe na vijana ambao ukiwapa file kuhusu kampuni fulani inayo taka kuja kuwekeza wanakupa data zote mesani...
Au vijana ambao ukitaka kumchagua mtu kuwa kiongozi wanakuoa data za uhakika kuanzia kolomije mpaka moshi ushirika...
Hakika. Waongezewe budget tu.
 
Huyo Netanyahu kawaita nyie washenz hawapuuz watu weusi sio bora bal wazungu na wayahud ndio bora akamshangaa kwann mungu kawaumba bado mnamnyenyekea subirin niwe rais...nafunga baloz ya Tz israel siwez kuwa na mahusiano na watu hao
 
Naam, ni uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ben Gurion ambao umepewa jina hilo la waziri mkuu wa kwanza wa nchi hiyo David Ben-Gurion.

Uwanja huo upo katika mji wa Lod ambao upo nje kidogo ya jiji la Tel Aviv.

Maofisa usalama au security guards wote wamechanganyika na wanajeshi ,uhamiaji na polisi.

Kuna wanaovaa sare na wale askari kanzu ambao ndiyo wengi.
hiyo sytle ya maofisa usalama na security guards ipo hivyo karibia viwanja vyote.....labda tuambiane namna yao ya ulinzi iliyo tofauti na nchi nyingine...
 
Ni kweli kuna nyanja mbalimbali za ushirikiano kati ya Tanzania na Israel kama nilivyooanisha hapo juu japo ni kidogo.

Lakini Israel ni watu wenye uwezo mkubwa sana katika masuala ya kiteknolojia, sayansi, kijeshi na kiusalama.

Kama unakumbuka kampuni ya Apple ilipoingia kwenye mgogoro na FBI kuhusu simu ya IPhone ya yule muuaji wa California Syed Farook kwamba isingetoa siri ya namna ya kuifungua simu hiyo kwa ajili ya uchunguzi, baadae kampuni ya Israel ndiyo ilikuja kufungua simu hiyo.

Nimeeleza kuhusu kampuni hii ya Cellebrite katika moja ya Makala zangu kwenye jukwaa hili na wanavyofanya kazi.

Kampuni ya Cellebrite ni kampuni kubwa sana ya teknolojia duniani na ina matawi sehemu kadhaa kiasi cha kufikiria kutafuta masoko Zaidi katika nchi za Afrika Tanzania ikiwa ni mojawapo.

Israel pia ni wataalam na wana teknolojia ya juu katika masuala ya "surveillance" na hivyo watapata nafasi na soko la kuuza bidhaa zao zinazohusiana na eneo hili.

Pia ukitaka kujua namna ulinzi wa viwanja vya ndege vya Israel ulivyopewa kipaumbele nchini Israel basi unapaswa kwenda Israel na ukifika nchini humo utajifunza mengi, kwani hapa sitaelezea mengi kutokana na sababu mbalimbali.

Mwisho wayahudi wana misemo miwili muhimu kabisa kuhusiana na ulinzi na usalama wa Israel, kwanza wanasema "what can I do for Israel" na mwingine wanasema "what can I do to help brothers ans sisters in Israel".

Ni lazima unaelewa njia za kuilinda nchi yako na hata unapokuwa vitani unatakiwa kukumbuka vitu vitatu, jina lako, namba inayokutambua yaani code na royalty uzalendo.

Nafikiri umenielewa ndugu.
yes we ni great thinker hizi ndo Nyuzi za kusoma siyo mambo ya Bashite Hongera sana
 
Well, umaarufu wa Israel umejengeka zaidi kwenye masuala ya imani. Zaidi ya kubebwa na the Christian right sway kwenye nchi za Magharibi haina cha mno.

I mean, there's a reason why there is only a handful permanent members of the security council, only a handful of the G7 nations, only a handful of NATO countries and G20.

Israel haimo hata kundi moja.

Nchi za viwanda, tajiri, G7, haimo.
Nchi zenye uchumi mkubwa duniani, G20 haimo.
Nchi zenye mashirikiano ya ulinzi, NATO, haimo.
Nchi tano zenye ma nguvu ya VETO na mabavu, kwenye security council haimo.

Halafu tunaimba Israeli, Israeli, Israeli. Total illusion.

Ndo maana Nyerere alifungilia mbali ubalozi wa Israel bongo hapa.

Ka Israel kanapewa misaada na US. Sasa sisi tuna ubalozi USA, ambao ndio wanawabeba mbeleko Israel, mbona hiyo TISS haijanufaika miaka yote hiyo na mahusiano na CIA?
Upo sahihi ila kuna kitu hukijui
Ila pia anza kufanya research hasa za hizo security services uone. Mossad ni imara zaid ukzngatia jiografia ya israel na usalama wa nchi hyo ya watu 8M we ona babu zako wanavolialia.

Kteknolojia ntasema mambo mawili maji na bundi. Israel ndo inawauzia maji palestina wanachukua maji ya chumvi wanaondoa chimvi just in 30min maji yanakua safi na salama kutumiwa na kuuzwa Palestina huko. Israel ndo nchi nahc namba moja isiyopoteza maji kuanzia yale ya bafuni hayapotei yanavunwa na kwenda kwenye shughuli za kilimo

Namba mbili. Bundi.
Israel ndo nchi inayo export bundi wengi dunian kwa shughuli za kilimo,ndege huyo ambaye kwenu mnamuhusisha na uchawi huko kwa wayahud anatumika vema ktk organic farming na kizur zaid ndege hao walikua wakiruka kwenda Jordan wanaibiwa wakapigwa coordinates hawaruk nje ya mipaka ya taifa lao. Hii kitu c mchezo na c suala la kwenda porin ukamkamata bundi ni suala la kimaabara.

Cha tatu ambacho mtoa mada amekgusia ni kuhusu drones ambazo ww umeanza kuzjua miaka miwil mitatu iliyopta bt Israel imetumia drones since miaka ya 1980's huko.
Nichomekee na hiki, babu zako wapalestina walizoea kuchimba mahandak na kuibukia israel na kulipua bt sayert matkal wana nyoka ambaye anatumwa huko mipakan kulinda na anaingia had kwenye mahandaki na kuwadhibiti hao vbaka.
Mengine ataeleza Richard na Yeriko
 
Ni kweli kuna nyanja mbalimbali za ushirikiano kati ya Tanzania na Israel kama nilivyooanisha hapo juu japo ni kidogo.

Lakini Israel ni watu wenye uwezo mkubwa sana katika masuala ya kiteknolojia, sayansi, kijeshi na kiusalama.

Kama unakumbuka kampuni ya Apple ilipoingia kwenye mgogoro na FBI kuhusu simu ya IPhone ya yule muuaji wa California Syed Farook kwamba isingetoa siri ya namna ya kuifungua simu hiyo kwa ajili ya uchunguzi, baadae kampuni ya Israel ndiyo ilikuja kufungua simu hiyo.

Nimeeleza kuhusu kampuni hii ya Cellebrite katika moja ya Makala zangu kwenye jukwaa hili na wanavyofanya kazi.

Kampuni ya Cellebrite ni kampuni kubwa sana ya teknolojia duniani na ina matawi sehemu kadhaa kiasi cha kufikiria kutafuta masoko Zaidi katika nchi za Afrika Tanzania ikiwa ni mojawapo.

Israel pia ni wataalam na wana teknolojia ya juu katika masuala ya "surveillance" na hivyo watapata nafasi na soko la kuuza bidhaa zao zinazohusiana na eneo hili.

Pia ukitaka kujua namna ulinzi wa viwanja vya ndege vya Israel ulivyopewa kipaumbele nchini Israel basi unapaswa kwenda Israel na ukifika nchini humo utajifunza mengi, kwani hapa sitaelezea mengi kutokana na sababu mbalimbali.

Mwisho wayahudi wana misemo miwili muhimu kabisa kuhusiana na ulinzi na usalama wa Israel, kwanza wanasema "what can I do for Israel" na mwingine wanasema "what can I do to help brothers ans sisters in Israel".

Ni lazima unaelewa njia za kuilinda nchi yako na hata unapokuwa vitani unatakiwa kukumbuka vitu vitatu, jina lako, namba inayokutambua yaani code na royalty uzalendo.

Nafikiri umenielewa ndugu.

Haya, mkuu
 
Hivi sababu za nchi za umoja wa Africa kujitenga na Israel zimepatiwa ufumbuzi/zimekwisha ama wamegundua yanayofanywa na Israel ni halali? Tafadhali tupeni elimu kidogo.
 
kwa jinsi Israel ilivyo nchi nyeti ingefaa balozi wetu asihudumie nchi zingine tena.
 
Upo sahihi ila kuna kitu hukijui
Ila pia anza kufanya research hasa za hizo security services uone. Mossad ni imara zaid ukzngatia jiografia ya israel na usalama wa nchi hyo ya watu 8M we ona babu zako wanavolialia.

Kteknolojia ntasema mambo mawili maji na bundi. Israel ndo inawauzia maji palestina wanachukua maji ya chumvi wanaondoa chimvi just in 30min maji yanakua safi na salama kutumiwa na kuuzwa Palestina huko. Israel ndo nchi nahc namba moja isiyopoteza maji kuanzia yale ya bafuni hayapotei yanavunwa na kwenda kwenye shughuli za kilimo

Namba mbili. Bundi.
Israel ndo nchi inayo export bundi wengi dunian kwa shughuli za kilimo,ndege huyo ambaye kwenu mnamuhusisha na uchawi huko kwa wayahud anatumika vema ktk organic farming na kizur zaid ndege hao walikua wakiruka kwenda Jordan wanaibiwa wakapigwa coordinates hawaruk nje ya mipaka ya taifa lao. Hii kitu c mchezo na c suala la kwenda porin ukamkamata bundi ni suala la kimaabara.

Cha tatu ambacho mtoa mada amekgusia ni kuhusu drones ambazo ww umeanza kuzjua miaka miwil mitatu iliyopta bt Israel imetumia drones since miaka ya 1980's huko.
Nichomekee na hiki, babu zako wapalestina walizoea kuchimba mahandak na kuibukia israel na kulipua bt sayert matkal wana nyoka ambaye anatumwa huko mipakan kulinda na anaingia had kwenye mahandaki na kuwadhibiti hao vbaka.
Mengine ataeleza Richard na Yeriko

Umeandika kishabiki sana kimsingi vyoote ulivyowasifia hata mataifa mengine wanafanya na wamekuwa wanafanya kabla ya hao israel na vingine umeongezea chumvi kidogo hasa swala la nyoka
 
TISS kufanywa kuwa washauri tu ndio imetuangamiza ....TISS warudishiwe uwezo wa kutekeleza ...
Mbona mamlaka ya kutekeleza wanayo!!!!au hujui wanayo kwa namna ipi???

Wanayo kwa kuwepo kwenye kila ngazi ya maamuzi, unapozungumzia TISS sahau kuhusu walinzi, makirikiri, na wavaa suti pale knyama,ila kila aliyeaminiwa akapewa dhamana.

Anaweza kuwa judge, rc, daktari, mbunge, au hata msanii.

Swali ni je anatekeleza nini?, kina tija au manufaa binafsi/au ya taifa kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom