Uteuzi wa Gavana: Zitto Kabwe aponda

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371


Ukiacha hii,ame-tweet nyingne ya kuponda kumuita Mkulu mjamaa kwa maneno ambayo sijui kama yatamuacha salama.

Hiyo tweet nyingine nimeona bora tu niache huko huko.

Sasa sijui anatakaa kuvaa viatu vya Tundu Lissu?

Wacha tumpe muda but he is on the right track so far.
 
Ungeweka hapa tuone. Kuna kauli ilisemwa wakati ule Lissu ni mahututi kuwa kila aliyekwenda kumuona alirudi amekuwa mpya na woga na hofu anaacha hukohuko Kenya na kuwa shujaa.
Nimeanza kuamini, kweli kwa kupigwa kwako Lissu sisi tumekuwa majasiri
 
maamuzi kama haya ya kubadilisha gavana ,ukiona wanauchumi hawaongei chochote,wanasiasa hawaongei chochote,sarafu ya nchi hujui ina react vipi kwa mabadiliko haya,uchumi wa nchi nao hatujui,basi elewa tunaishi in a junk status country.sure mkuu wetu awe anatumia busara kufanya mabadiliko kama haya ambayo yana direct impact kwa nchi.
 


Ukiacha hii,ame-tweet nyingne ya kuponda kumuita Mkulu mjamaa kwa maneno ambayo sijui kama yatamuacha salama.

Hiyo tweet nyingine nimeona bora tu niache huko huko.

Sasa sijui anatakaa kuvaa viatu vya Tundu Lissu?

Wacha tumpe muda but he is on the right track so far.

Umeshuka chati sana dogo, siku hizi hutembelei kurasa ya Acacia na Barrick?
 
Back
Top Bottom