Uteuzi: Suleiman Kova ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA

Mufti wa Tanzania amemteua aliyekuwa RPC wa Dar es Salaam , Alhaji Suleiman Kova kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA .

Uteuzi huu umekuja kufuatia kujiuzulu ghafla kwa Mwenyekiti wa awali Sheikh Issa Othman , ambaye amefanya kazi hiyo kwa miezi mitatu tu , Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake .

Kila la heri Alhaji Kova
Je anaweza kufanya kazi yake bila vikwazo!
 
Sio waislamu!?
Au ndio unataka kusema waislamu ni wahuni!?

Heshimu dini za watu Dr Rutagwerera Sr 🙏
Labda sikuweka vema mawazo yangu.
Naumizwa na jinsi Bakwata imekua ikiwahujumu na kulalamikiwa na waislam wenyewe. Ni walafi na wameshindwa kusimamia rasilimali vema kama taasisi zingine za dini.
Hapo ndiyo ilipo hoja yangu. Napenda nione wana thrive na kufanikiwa kama taasisi zingine za kidini.
Lazima kama taifa sote twende mbele. Wengine wakiwa wakiwa na nyumanyuma ni ulegelege wa mustakabali wa taifa.

Wala sikua ninakashifu waislamu.

I reckon am understood here mama D! 🤝🏾
 
Mufti wa Tanzania amemteua aliyekuwa RPC wa Dar es Salaam , Alhaji Suleiman Kova kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA .

Uteuzi huu umekuja kufuatia kujiuzulu ghafla kwa Mwenyekiti wa awali Sheikh Issa Othman , ambaye amefanya kazi hiyo kwa miezi mitatu tu , Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake .

Kila la heri Alhaji Kova
All the best
 
Mufti wa Tanzania amemteua aliyekuwa RPC wa Dar es Salaam , Alhaji Suleiman Kova kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA .

Uteuzi huu umekuja kufuatia kujiuzulu ghafla kwa Mwenyekiti wa awali Sheikh Issa Othman , ambaye amefanya kazi hiyo kwa miezi mitatu tu , Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake .

Kila la heri Alhaji Kova
Daah Mufti kateleza, Kova huyu huyu mzee wa kamba?
Alikuwa muingo zaidi ya Mambo sasa.
Sijui labda kabadilika lakini mmmh
 
Nyerere alifariki 1999, si mlivunje kama haliwafai!? Chuki zenu dhidi ya Nyerere huwa ziko wazi kabisa na hazina sababu!
Tatizo la Waislam siyo Nyerere wala mtu yeyote nje ya Waislam wenyewe.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Mwinyi alitaka kuvunja 1990s,mufti wa wakati huo hemed bin jumaa,akamwambia 'inaelekea Nyerere hakukwambia bakwata ni nini!'..mwinyi akawaambia waislam waanzishe taasisi zingine,uchaguzi wa mufti bakwata hujaa maafisa vipenyo ili akalie kiti anayeaminika, waislam ukiwaacha wakawa na umoja na bila kudhibitiwa wataiendesha nchi,wataweka rais wamtakae nk..ndiyo Imani ya 'wenyewe'
 
Mufti wa Tanzania amemteua aliyekuwa RPC wa Dar es Salaam , Alhaji Suleiman Kova kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA .

Uteuzi huu umekuja kufuatia kujiuzulu ghafla kwa Mwenyekiti wa awali Sheikh Issa Othman , ambaye amefanya kazi hiyo kwa miezi mitatu tu , Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake .

Kila la heri Alhaji Kova
Kova amechomokea huku?😅😅
 
Mwinyi alitaka kuvunja 1990s,mufti wa wakati huo hemed bin jumaa,akamwambia 'inaelekea Nyerere hakukwambia bakwata ni nini!'..mwinyi akawaambia waislam waanzishe taasisi zingine,uchaguzi wa mufti bakwata hujaa maafisa vipenyo ili akalie kiti anayeaminika, waislam ukiwaacha wakawa na umoja na bila kudhibitiwa wataiendesha nchi,wataweka rais wamtakae nk..ndiyo Imani ya 'wenyewe'
Hili linaweza kuwa kweli" wataweka Rais wamtakaye" hawa jamaa tuna wa understimate ila wana nguvu sana pesa na akili. Waislam mimi nawakubali sana kwenye mambo yao.
 
Back
Top Bottom