Unaongozwa na chuki, huna hoja yoyote.Hujui usemacho kwhy kausha ,Nina uhuru wakuongea lkn Sina uhuru baada ya kuongea.. Tusitiane majaribu
Je anaweza kufanya kazi yake bila vikwazo!Mufti wa Tanzania amemteua aliyekuwa RPC wa Dar es Salaam , Alhaji Suleiman Kova kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA .
Uteuzi huu umekuja kufuatia kujiuzulu ghafla kwa Mwenyekiti wa awali Sheikh Issa Othman , ambaye amefanya kazi hiyo kwa miezi mitatu tu , Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake .
Kila la heri Alhaji Kova
Kabisa ! huyu japokuwa ni Alhaji lakini pia ni KamandaJe anaweza kufanya kazi yake bila vikwazo!
Sawa yote sahihiUnaongozwa na chuki, huna hoja yoyote.
Nakupuuza.
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Mufti kwenye mambo ya kuongoza,utawala hana uwezoKwanini!?
Kwani kova sio muislamu!?
Labda sikuweka vema mawazo yangu.Sio waislamu!?
Au ndio unataka kusema waislamu ni wahuni!?
Heshimu dini za watu Dr Rutagwerera Sr 🙏
All the bestMufti wa Tanzania amemteua aliyekuwa RPC wa Dar es Salaam , Alhaji Suleiman Kova kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA .
Uteuzi huu umekuja kufuatia kujiuzulu ghafla kwa Mwenyekiti wa awali Sheikh Issa Othman , ambaye amefanya kazi hiyo kwa miezi mitatu tu , Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake .
Kila la heri Alhaji Kova
Bakwata hakuna YesuYesu...
Asavali wangeniteua hata mimi..
Basi nime badilisha imekua Subhanallah.....🤣Bakwata hakuna Yesu
Daah Mufti kateleza, Kova huyu huyu mzee wa kamba?Mufti wa Tanzania amemteua aliyekuwa RPC wa Dar es Salaam , Alhaji Suleiman Kova kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA .
Uteuzi huu umekuja kufuatia kujiuzulu ghafla kwa Mwenyekiti wa awali Sheikh Issa Othman , ambaye amefanya kazi hiyo kwa miezi mitatu tu , Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake .
Kila la heri Alhaji Kova
mkuu acha tuendelee tuDaah Mufti kateleza, Kova huyu huyu mzee wa kamba?
Alikuwa muingo zaidi ya Mambo sasa.
Sijui labda kabadilika lakini mmmh
Mwinyi alitaka kuvunja 1990s,mufti wa wakati huo hemed bin jumaa,akamwambia 'inaelekea Nyerere hakukwambia bakwata ni nini!'..mwinyi akawaambia waislam waanzishe taasisi zingine,uchaguzi wa mufti bakwata hujaa maafisa vipenyo ili akalie kiti anayeaminika, waislam ukiwaacha wakawa na umoja na bila kudhibitiwa wataiendesha nchi,wataweka rais wamtakae nk..ndiyo Imani ya 'wenyewe'Nyerere alifariki 1999, si mlivunje kama haliwafai!? Chuki zenu dhidi ya Nyerere huwa ziko wazi kabisa na hazina sababu!
Tatizo la Waislam siyo Nyerere wala mtu yeyote nje ya Waislam wenyewe.
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Kova amechomokea huku?😅😅Mufti wa Tanzania amemteua aliyekuwa RPC wa Dar es Salaam , Alhaji Suleiman Kova kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA .
Uteuzi huu umekuja kufuatia kujiuzulu ghafla kwa Mwenyekiti wa awali Sheikh Issa Othman , ambaye amefanya kazi hiyo kwa miezi mitatu tu , Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake .
Kila la heri Alhaji Kova
Shetani kawa malaika.😅😅Daah Mufti kateleza, Kova huyu huyu mzee wa kamba?
Alikuwa muingo zaidi ya Mambo sasa.
Sijui labda kabadilika lakini mmmh
Hili linaweza kuwa kweli" wataweka Rais wamtakaye" hawa jamaa tuna wa understimate ila wana nguvu sana pesa na akili. Waislam mimi nawakubali sana kwenye mambo yao.Mwinyi alitaka kuvunja 1990s,mufti wa wakati huo hemed bin jumaa,akamwambia 'inaelekea Nyerere hakukwambia bakwata ni nini!'..mwinyi akawaambia waislam waanzishe taasisi zingine,uchaguzi wa mufti bakwata hujaa maafisa vipenyo ili akalie kiti anayeaminika, waislam ukiwaacha wakawa na umoja na bila kudhibitiwa wataiendesha nchi,wataweka rais wamtakae nk..ndiyo Imani ya 'wenyewe'