Mfumo Kristo huu,wapi Ritz,Faizafoxy,Big Show,Alhaj Said na USSR.Mbona wote wakristo?
Nadhani anasoma maoni mitandaoniMbona wote wakristo?
Mbona wote wakristo?
Tulia mkuu tafuta koneksheniDegree moja wala masters haina nafasi
Huyu Msigwa si kateuliwa Usemaji Ukuu?? Bado pia yupo Ikulu??
Mama amanilewa .mpeni hongera next time aweke hata waislamu wawiliWale wanaosema Rais anateua kwa minajiri ya Dini hapa wala hawataonekana.
Cc USSR njoo huku useme Rais kateua kutokana na Dini ya Mtu.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sipo humoWewe ni mdini!
Amesikia hoja yanguMbona wote wakristo?
Uprofesa hauheshimiki sana siku hizi hasa baada ya vituko vya kina profesa Muongo!!Degree moja wala masters haina nafasi
Mpeni heko mama next time aweke ma alhaj kama Ritz waheeed kubalance diniMfumo Kristo huu,wapi Ritz,Faizafoxy,Big Show,Alhaj Said na USSR.
Utakuja kulia kwenye Wakuu wa Mikoa/Wakurugenzi/Wakuu wa Wilaya.Mama amanilewa .mpeni hongera next time aweke hata waislamu wawili
ni wanafiki sanaKwani wakristo siyo watanzania?!!