Sema Kimeumana
Member
- Apr 12, 2021
- 32
- 23
Kila zama na kitabu chake. Hongera kwa Mh. Rais Samia kwa uteuzi. Wateuliwa wote watambue kuwa wameteuliwa kufanya kazi, hivyo wachape kazi kumsaidia Rais atekeleze majukumu yake kuwatumikia wananchi.
Kama hauna dini ni wewe....ila naona Rais yupo busy kujaza watu wa dini yake ila all in all hakuna jipya ni business as usual.Wewe dini inakusaidia nini ..serikalini kuna dini..pumbav..hatuangalii udini wako wala ukabila wako, tunaangalia utendaji kazi
Daah watu mna majibu aisee 😆😆!Hamna tatizo Mkuu wewe transform tu wengine watafanya shughuli nyingine.
ken.ge wewe, nikutajie we kama nani?? Unajua hujui kama rais huwa anawashauri wa nyanja zote, wa kiusalama,kiuchumi,kidiplomasia, etc, mungu wenu magufuli ameharibu akili zenu nyie misukule wake, na bado hamuamini kama now Rais ni Samia,,,endeleen kuabudu mzogaNitajie alikuwa mshauri wa Diplomasia wa Rais Magufuli?
hizo nafasi zimekuwepo muda mrefu sana. tofauti ni kuwa hazikuwa zikitangazwa. sasa hivi ndio zimekuwa public
Kuna tofauti gani kati ya Mdaidizi na Mshauri ? Maana Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martin Shigella alikuwa mshauri wa siasa wa JK
Sawa mkuu ndo maana Iyo nafasi nikasema labda aliteua moja tu japo sikua na huakika, na nilidhani nayo labda marehem Kijazi alikua anatembea nayo,but KWA hichi ulicho quote nami Sina jibu badala ya kukuhunga mkono, na je vipi nafasi zingine sio kwamba mwenda zake ndo alikua anatimiza nunua majogoo ya kumposa bi mkubwa?Thread 'Rais Magufuli amteua Ngusa Dismas Samike kuwa Mnikulu wa Ofisi ya Rais' Rais Magufuli amteua Ngusa Dismas Samike kuwa Mnikulu wa Ofisi ya Rais
Kero za Muungano hupunguzwa kwa kuteua?. Ki msingi hakuna kero za Muungano zaidi ya watu kushindwa kuamua kama tunakuwa kitu kimoja au kila mmoja kivyake maana hatuwezi kuungana nchi mbili halafu tuwe nchi mbili badala ya moja. Hao wametafutiwa ulaji tu, hamna lolote.Rais ametoa salaam hasa za Jamhuri ya Muungano kwa kuteua wasaidizi toka Zanzibar na Tanganyika.
Kero za Muungano zinazidi kupunguzwa na Muungano kuimarishwa kwa kutosahau wasaidizi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano lazima waonekane kutoka pande zote mbili.
Kero za Muungano hupunguzwa kwa kuteua?. Ki msingi hakuna kero za Muungano zaidi ya watu kushindwa kuamua kama tunakuwa kitu kimoja au kila mmoja kivyake maana hatuwezi kuungana nchi mbili halafu tuwe nchi mbili badala ya moja. Hao wametafutiwa ulaji tu, hamna lolote.
Naona ukipigwa denda hapo.
Povu lanini bwa shekhe?ken.ge wewe, nikutajie we kama nani?? Unajua hujui kama rais huwa anawashauri wa nyanja zote, wa kiusalama,kiuchumi,kidiplomasia, etc, mungu wenu magufuli ameharibu akili zenu nyie misukule wake, na bado hamuamini kama now Rais ni Samia,,,endeleen kuabudu mzoga
Jk enzi zake pia mlisema aliweka ndg zakeZilikuwepo tangu kikwete, tofauti yake awamu ya mwendazake aliweka ndugu zake watupu
Huyu nae analialia nini?Nani kama mama?
View attachment 1754085
Kiukweli bavicha wengi ni vichwa majiJk enzi zake pia mlisema aliweka ndg zake
Alafu tukirudi kwwnye utawala wa jpm ikulu aliondoa mambo hayo
Ova
Enzi za jiwe walikua wanachekelea tu mivyeo ya upande mmoja.sasa hivi Mataga wanajifanya eti hawaelewiMbona ulikuwa husemi hivyo enzi za jiwe wewe mataga?
Kajaza waislamu kila teuzi
harufu ya udini ikulu. 6/9 ya wateule wapya ni dini moja na mteuaji. haya mambo lazima yasemwe sasa kabla haijawa too late.
Kama hauna dini ni wewe....ila naona Rais yupo busy kujaza watu wa dini yake ila all in all hakuna jipya ni business as usual.